bluetooth
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 4,402
- 2,550
Habari nilizozisikia hivi punde kutoka hazina zinasema:-
mshahara wa mwezi ujao huenda usitoke kabisa kwa kuwa serikali haina hela.
Hii ni aibu kubwa kabisa kwa mtanashati na handsome boy kama kikwete
kwa hiyo wenye baa unataka kuwaambiaje... au ndio gia yako ya kusaini kaunta mwezi huu....