Hili suala la posho ya mbunge ya siku moja kuzidi mshahara wa mwezi wa Mwalimu, HALIKUBALIKI!

Burkinabe

JF-Expert Member
Feb 12, 2023
1,893
3,200
Salaam wapenzi wana JF.

Leo nimeamua kuwasilisha hii kero ya ukosefu wa usawa linapokuja suala la kufaidi keki ya Taifa.

Yaani haiingii akilini kabisa kwa mbunge kulipwa pesa ya posho ya siku moja ambayo ni kubwa zaidi kuliko mshahara wa Mwalimu wa mwezi mzima.

Siyo sawa kabisa.

Ahsanteni.
 
Yaani nchi hii ina maajabu sana.
Wanaofanya kazi sana, ndo wanalipwa kidogo ilhali wanaofanya kazi ndogo (kama wabunge Walio wengi ambao kazi yao ni kupiga makofi tu, kusinzia na kushabikia mambo ya hovyo) wanalipwa maradufu!
 
Back
Top Bottom