Kamwe aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?

Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!

Nadhani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.

Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.

Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
Wafanyakazi mnaogopa hata kugoma au kuandamana hata siku moja mnategemea nini?
 
Kamwe aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?

Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!

Nadhani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.

Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.

Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
Ni bora hata yule aliyekuwa hawaongezei mshahara anawachana ukweli.
 
Kamwe aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?

Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia na kufanikiwa kuona kilichoongezeka. Nimepigwa butwaa kuona tambo zote zile increment haizidi 20K!

Nadhani Sasa ni muda wa watumishi wa umma kujitambua na kuacha kushoboka na serikali. Serikali ime-inflate gharama za maisha kwa kiwango kikubwa but then haina efforts za kuboresha maslahi.

Maamuzi ya namna hii yanapunguza morali ya kazi na kushusha uadilifu. Tutegemee uzembe makazini na kuongezeka ubadhirifu.

Serikali imeshindwa kusimamia utumishi wa umma hususani kwenye suala la maslahi.
Je ! Kilichoongezeka sio sawa na %23 ya mshahara wako??
 
Screenshot_20220723-094135_Google.jpg
 
Watumishi this, watumishi that.. mnatupigia kelele bana

Si mchague uzi mmoja mkae hapo mlalamikiane mkichoka mnalala, j3 asubuhi kama kawaida..
Nani amekuforce kufungua hizi nyuzi? Hakuna zingine?
 
20000 n kubwa jomba,,,
Kila mwezi n kuku 2, (jogoo na tetea 1) halafu miezi inayofata n tetea 2 kila mwezi. Baada ya miezi 11 utakuwa na kuku 40+ Ikifika Christmas uza kuku 30 kwa 12000 kila kuku.


Au Kama vipi bet tu ukiona
 
Ulikuwepo? Ilipandishwa kiasi gan?
Nilikuwepo na nilikuwa muajiriwa serikalini that time.Labda nilipindue swali, wewe ulikuwepo serikalini kipindi cha Jk hasa second term? Maana sikutegemea swali la muundo huu kwa mtumishi wa umma mwenye experience ya mika japo kumi serikalini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom