Mkuu hujamsoma Juma W....Kuna kitu gani uliwahi kukifanya kwa ajili ya wanyonge walio wengi?
Kila kitu kina mwanzo wake,
Natamani kumwona Msemakweli kizimbani na hati ya mashtka watakayomwandalia. Na pia itakuwa ngoma tamu sana kuiangalia kwa sababu itabidi dola lieleze makosa yake aliyoyatenda dhidi ya dola!!
hebu rudia tena kuandika...CHADEMA mmemponza MsemaUWONGO, yeye kapewa faili pasipo kufanyia kazi, SASA cha moto atakiona kwani huo ni uchochezi nchi yetu ya amani. Hatutaki kupewa taarifa bila kufanya uchunguzi wa kina. Nyie wachangiaji wengine mna ubaguzi wa rangi, HAKUNA SABABU YA KUWAHUKUMU MANJI NA ROSTAM; ACHENI SIASA UCHWARA!!!
nchi hii ukiwa jambazi serikali inakuabudu. Ukiwa mwenye haki na mtetezi wa haki za wanyonge serikali inakuona mtu mwenye dhambi nyingi sana.
subiri outcome yake ndio ujaji sawa mawe..upuuzi mtupu!
Utamjua vizuri mda si mfupi wenzako Chadema wanalalamika kuwa Msemakweli amepola hoja yao ya Kagoda! Sasa nashindwa elewa umliki wa Hoja ya Kagoda CDM wameupata lini na wapi na nani kawapa na kwa nini akisema mtu mwingine kama Msemakweli basi Magwanda wana mchukia!who is msemakweli in Tanzania?
hebu rudia tena kuandika...
Usishangae sana mkuu huyu ni miongoni mwa wale waliokodiwa kwenda kulia siku ile pale Igunga wakati huyu Muiran Rostam alipojiuzulu Ubunge.hebu rudia tena kuandika...
Lakini hili swala la msema kweli inafaa tuingie mwituni
Wengine sio kosa lao bali wamezaliwa kwa kupitia njia ya haja kubwa.
Unatakiwa utulize akili ili ujue comment za realy Great thinkers, ulitaka Invisible aseme nini zaidi ya kusikitika? Invisible amesema si mchezo halafu akaweka alama hizi................, je unajuwa maana yake?Wewe Invisible,
Mtu anaposema "ameyataka mwenyewe, kukurupuka" na wewe una support kwa ki-comment kisicho na miguu wala kichwa huo ni uduwanzi! Erick Msemakweli ana balls na yuko sawa kudai mali na haki za Watanzania.
halafu unapenda sana matusi wewe. Si mara yako ya kwanza hii ku-associate hilo neno. Una akili timamu wewe?
Ameyataka mwenyewe, KUKURUPUKA NI KUBAYA!