Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,020
- 103,416
Sasa mbona walijiwahi kwenda Taifa?
Kwanza hata niliposikia hao viongozi wa Cdm wameenda niliwashangaa. Unaendaje kwenye msiba wa kiongozi ambaye maisha yake yote alikuwa adui, na muendesha siasa za ufitini dhidi ya upinzani, hasa hasa hao cdm? Huyo Mkapa si alimuweka ndani kabisa huyo Lisu wakati akipambania wachimbaji wadogo?