Msafara wa Viongozi CHADEMA wazuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru kumuaga Mzee Mkapa. Waitaka Serikali itoe maelezo...

Sasa mbona walijiwahi kwenda Taifa?

Kwanza hata niliposikia hao viongozi wa Cdm wameenda niliwashangaa. Unaendaje kwenye msiba wa kiongozi ambaye maisha yake yote alikuwa adui, na muendesha siasa za ufitini dhidi ya upinzani, hasa hasa hao cdm? Huyo Mkapa si alimuweka ndani kabisa huyo Lisu wakati akipambania wachimbaji wadogo?
 
Mwanahabari Huru,

Nafikiri kwenye hili tuache ushabiki Viongozi wa Chadema wamechelewa kufika uwanjani na walipaswa kukaa presidential Area wangekaaje na je uwanjani wangeingia vp wakati Rais kaishaingia?

Wakubwa sehemu yeyote ambayo kama kuna event mtu wa mwisho kuingia ni Rais ukichelewa kaa mbali tu!
Unajuaje walichelewa, weka picha na timer.
 
Kwani baada ya kuingia rais wananchi hawaruhusi kuingia nyuma yake?
mwananchi wa kawaida anaruhusiwa kimya kimya kuingia

huo msafara sio wa wananchi wa kawaida na kama undhani kina

mbowe,lissu,mnyika,Full team nzima ni wananchi wa kawaida,sawa lalamika.
 
Kwanza hata niliposikia hao viongozi wa Cdm wameenda niliwashangaa. Unaendaje kwenye msiba wa kiongozi ambaye maisha yake yote alikuwa adui, na muendesha siasa za ufitini dhidi ya upinzani, hasa hasa hao cdm? Huyo Mkapa si alimuweka ndani kabisa huyo Lisu wakati akipambania wachimbaji wadogo?
1595934071307.png
 
Hawakujua siku ya leo ilikuwa ni shughulia ya mazishi ya kitaifa. Shughuli ya kitaifa ina protokali maalumu ya kuingia uwanjani . Walitakiwa kuingia wakati wa zamu za viongozi wa kisiasa kama walivyofanya wenzao. Au wawahi saa kumi na mbili waingie kama wananchi wa kawaida. Prorokali ya leo kiongozi wa mwisho kuingia alikuwa Rais na ratiba kuanza si vinginevyo.
 
Kwa jinsi walivyojikusanya na kwenda Uwanja wa Taifa, ni wazi kabisa walitaka kick ya kisiasa, sasa hao walikuwa hawana nia ya kuhani msiba bali kujitangaza kisiasa na wangevuruga sana..
Msiba mkubwa wa Taifa na Kimataifa kama huu wa Mh. Mkapa, alafu unakuja na sura au mlengo wa kisiasa ili ujipatie kick au publicity ni mbaya sana, watu wako katika majonzi ww uje na magwanda yako ya CDM unatafuta nn? 🤔😠 Alafu wanakuja Mh. Rais tayari yuko ndani ya Uwanja wa Taifa, hata hawajui itifaki, hii ni kosa.
 
Kwa jinsi walivyojikusanya na kwenda Uwanja wa Taifa, ni wazi kabisa walitaka kick ya kisiasa, sasa hao walikuwa hawana nia ya kuhani msiba bali kujitangaza kisiasa na wangevuruga sana..
Msiba mkubwa wa Taifa na Kimataifa kama huu wa Mh. Mkapa, alafu unakuja na sura au mlengo wa kisiasa ili ujipatie kick au publicity ni mbaya sana, watu wako katika majonzi ww uje na magwanda yako ya CDM unatafuta nn?
Mbona nyie mmejaa na minguo yenu ya mbogamboga kwani hamkuwa mnatafuta Kiki za kisiasa
 
Back
Top Bottom