Msafara wa First Lady waua mmoja Ruvu

pole ya nini wakati anajitakia kwani angekaa nyumbani kwake akampikia mumewe angepata hiyo ajali? kiherehere tu bora angekufa yeye kuliko huyu dreva anaacha pengo kwenye familia yake bila sababu ya msingi eti msafara wa Salma Kikwete
 
pole ya nini wakati anajitakia kwani angekaa nyumbani kwake akampikia mumewe angepata hiyo ajali? kiherehere tu bora angekufa yeye kuliko huyu dreva anaacha pengo kwenye familia yake bila sababu ya msingi eti msafara wa Salma Kikwete


Kwakweli inasikitisha wameanza kutoa kafara hadi kwa watu wao wa Ikulu Inatia huruma. Jamani wanamaombi tukazane abebwi mtu hapa.
 
Tofautisha safari inayoharibu pesa za serikali yaani safari zakifisadi na safari zakawaida. Sasa unataka utuambie eti alikua anakwenda kwenye nyumba yao mpya, huoni ni safari yakifisadi? tena safari yenyewe ni juma pili, afu unasema tuwe na huruma. Msafara wa magari kumi unajua gharama yake pamoja na posho za madereva nawapambe tena jumapili?

Tuwe na huruma zaidi kuliko ushabiki, vp kama ajali hiyo ingemuhusu ndugu yako wa damu (mama, dada, shangazi, mpwa, baba au kaka) ungetoa comments gani?
 
Nadhani hili litakuwa fundisho Kwa Salma KIKWETE Mungu amumuonyesha kwamba dhuluma si stahiki,anaendeleza ubabe wake wa kufuja mali ya nchi mara atumie ndege ya Raisi wakati yeye si Raisi mara msafara wa magari na ving'ora wakati yeye sio Raisi.Anna Mkapa alikuwa na gari moja tuuuu basi hakukuwa na pikipiki wala king'ora huyu ni limbukeni.Nadhani yeye na mumewe watawajibika kuhakikisha Marehemu Ramadhani mipango yake aliyoiweka wanaitekeleza kama alitaka kujengea nyumba wazazi wake wafanye hivyo kama alikuwa na familia wawajibike kuitunza
Poleni majeruhi bahati mbaya sana tuna utawala wa kusultani sasa hivi mengi tutayapata ya hasara kama wananchi kutoka kwa familia ya anasa kama hii ya KIKWETE
 
poleni wafiwa...
pamoja na masikitiko lakini tusifumbie macho ukweli wa chanzo cha ajali wala kuendekeza hali hii!
ajali hii ni uzembe mkubwa unaosababishwa na polisi kwa kushobokea misafara....
ni kero sana wanaposafiri kila w-end kwenda msoga,mimi nimeshuhudia jumapili iliyopita jamaa wakitanua chalinze kama vile barabara haina watumiaji wengine!
binafsi sioni sababu ya huyo mama kutumia gari zaidi ya 2 wala hahitaji escort convoy kwa sababu hamna tishio lolote kwa usalama wake na budget ya nchi hairuhusu
wakati hospitali za wilaya hazina hata ambulance wao wanatumia magari mengi hivyo? mafuta... posho...muda unaopotea nk....
WE SHOULD REVIEW AND MAKE CHANGES IN THIS PROTOCALS!!
 
Kama dereva alikuwa anajari-kuserve maisha ya huyu mama ndio akafa yeye basi Marehemu alikuwa Mpumbavu, hayo siyo mafunzo ya kivita; askali anatakiwa kuokoa maisha yake yeye mwenyewe kwanza, maana yeye ndio nguzo ya Ushindi maana huyo mama akifa siyo hasara kwa taifa kama akifa yeye, inawezekana kupata askali shupavu na makini kama yeye itakuwa kazi ngumu sana kwa taifa ukinganisha na kifo cha Fisadi mmoja, Government can get First ladies at low costs kuliko ku-train Kachero, tumepata hasara kubwa sana, hawa makachero wetu nadhana hawajapata elimu ya kutosha huyo mama hayumo katika list ya watu wakulinda ikibidi ufe!! nadhani watu wakulinda ikibidi ufe hapa TZ ni Rais na Waziri Mkuu.

Punguza jazba na tumia maneno laini utaeleweka tuu
 
Mama Salma, gari yake yeye ipo salama na yeye yupo salama. Msafara ulikuwa na gari kama 10, gari ya Mama Salma ilikuwa ya tatu toka mbele, na ile Toyota LX ilikuwa ya 5 toka mbele ..

Du gari kumi, masafara wa 1st lady kwenda nyumbani?
Labda sijui mambo, je hii ni sawa wajuzi?
 
Katika masuala ya misiba ni vema tuweke ushabiki na chuki zetu dhidi ya viongozi na wake au waume zao pembeni. Mtu yeyote ambaye ana jukumu la kulinda kiongozi anaapa kutoa uhai wake kuhakikisha mlindwa wake hauawi au kudhurika. Ni kweli kabisa kuwa kuna matatizo makubwa katika masuala ya misafara ikiwa ni pamoja na watu kusimamishwa kupisha misafara ya watu ambao hata ambao si viongozi kama mke wa raisi, wake za makamu wa raisi na waziri mkuu, na misafara ya mabalozi na viongozi wa jeshi la polisi.

Hoja yangu ni kuwa kama huyo afisa usalama wa taifa alifanya hivyo ili kumnusuru Salma Kikwete huko ni kutimiza wajibu wake na anastahili heshima zote. Lakini kuna haja ya kupiga marufuku utitiri wa viongozi wenye haki ya kupishwa katika misafara. Viongozi hao wawe Raisi, Makamu wa Raisi na Waziri Mkuu na ni lazima muda wa kusimamisha magari husizidi dakika tano. Hivyo kitendo cha Jeshi la Polisi kusimamisha magari kwa nusu saa au zaidi wakati viongozi hao ndio kwanza wanaingia bafuni kiwe marufuku. Hhivyo basi wananchi wawe na haki ya kuendelea kutumia magari kama muda wa dakika tano utapita bila msafara wa kiongozi huyo kupita. Nasisitiza kuwa wake au waume wa viongozi hawana haki ya kusimamishiwa magari ili wapite wanatakiwa kutumia barabara kama wananchi wengine.

Una-matatizo kama siyo ya Elimu ni ushamba, nani kakwambia huyo ni kiongozi wa Tanzania!!! kwani hakuna mabasi ya kwenda huko Msoga??!!

Ndio maana huduma ya mabasi haiboreshwi viongozi wote mpaka wake zao na watoto wao hawajui basi nini?? Sikubaliani na wazo la kujiuwa ilikulinda Mke wa Rais. Nasema tulikuwa tunamuhitaji Ramadhani kuliko Salma
 
Mama Salma, gari yake yeye ipo salama na yeye yupo salama. Msafara ulikuwa na gari kama 10, gari ya Mama Salma ilikuwa ya tatu toka mbele, na ile Toyota LX ilikuwa ya 5 toka mbele ..
Magari kama kumi? Nimeamini kwanini alikuwa akimpigia mumewe kampeni!
 
Msafara wa magari 10?Huo ni ufujaji wa hali ya juu wa kodi za wananchi,wakti kuna wananchi wengine milo mitatu
kwao ni shida kweli yeye anathubutu kufaja hivyo mmh.
 
_DSC0183.JPG

Radhid Othman [DG],President Kikwete ,and VP Bilal mourning TISS agent/driver Al-marhum Said Mkoma.[RIP]
 
_DSC0171.JPG


AT Kijitonyama State Barracks:-Its seems Salma is in deep emotions..may be she is blaming herself for all what happened ....look at the family ..!..its time that she leads a low profile life ..previous first ladies would drive in one state vehicle with state of arms plate ..with one armed state agent lady..with communications to enable her call for re-inforcement or clearene relay to traffic control centre..and none of them had an accident.....this is third accident to involve the first lady all of which have been fatal.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom