Huyo kiongozi Salma Kikwete wewe ndio umemchagua? Vinginevyo kanywe nae chai.Mtu yeyote ambaye ana jukumu la kulinda kiongozi anaapa kutoa uhai wake
Msafara wa magari kumi ni ufujaji, period. Kila kona serikalini bajeti zimekatwa hata kazi hazifanyiki, lakini hela ya kumsafirisha demu wa Rais na magari kumi ipo, bunch of b.s.
Tumpe pole nani, marehemu?Jamani hii ni ajali tumpe pole hata kidogo!