Msaada wa ushauri wa kupata ajira kwa fresh from school.

anin-gift

Senior Member
Feb 17, 2012
168
73
Wakuu heshima mbele!
Mimi ni kijana ambaye nimehitimu elimu ya chuo cbe dodoma. Nimeona nije kuomba ushauri au mbinu mbadala ya kuweza kupata ajira japo sina experience. Wakuu ni muda sasa toka 2010 nimekuwa nikiomba kazi sehemu mbalimbali ila kwa kweli sijabahatika hata kuitwa ktk interview hata 1 ukizingania nimeapply sana hata kumbukumbu sina tena ya idadi. Nina advance diploma ya business administration upper second. Baada ya analysis ya kutosha nimegundua experience ndio inayonicost. Wengi wetu tunajua siku hizi kazi za volunteer na internship nazo zimekuwa ni ishu kama ajira ya kawaida so naombeni ushauri wakuu hasa ukizingatia mtaani ni balaa. Heshima kwenu wakuu ila naombeni tuwe waungwana lugha ya matusi isitumike. Ahsanteni sana.
 
Wakuu heshima mbele!
Mimi ni kijana ambaye nimehitimu elimu ya chuo cbe dodoma. Nimeona nije kuomba ushauri au mbinu mbadala ya kuweza kupata ajira japo sina experience. Wakuu ni muda sasa toka 2010 nimekuwa nikiomba kazi sehemu mbalimbali ila kwa kweli sijabahatika hata kuitwa ktk interview hata 1 ukizingania nimeapply sana hata kumbukumbu sina tena ya idadi. Nina advance diploma ya business administration upper second. Baada ya analysis ya kutosha nimegundua experience ndio inayonicost. Wengi wetu tunajua siku hizi kazi za volunteer na internship nazo zimekuwa ni ishu kama ajira ya kawaida so naombeni ushauri wakuu hasa ukizingatia mtaani ni balaa. Heshima kwenu wakuu ila naombeni tuwe waungwana lugha ya matusi isitumike. Ahsanteni sana.

pole sana mkuu, kama hata kuitwa interview ni issue basi jitathmin upya, kuanzia namna ulivyoandika cv yako, application letter na kaz unazoomba.

Pia kumbuka kuitwa kwenye interview ni suala moja na kupata kazi ni suala jingine pia, lazima ufiki zaidi ya hapo.
 
pole sana mkuu, kama hata kuitwa interview ni issue basi jitathmin upya, kuanzia namna ulivyoandika cv yako, application letter na kaz unazoomba.

Pia kumbuka kuitwa kwenye interview ni suala moja na kupata kazi ni suala jingine pia, lazima ufiki zaidi ya hapo.

nakuunga mkono mkuu kujitathimini ni muhimu sana ukiona wafanya application nyingi bil YA MAFANIKIO, ILA USICHOKE AJIRA NI NGUMU SANA, HATA MIE BINAFSI BADO NAPAMBANA
 
Back
Top Bottom