Wakuu heshima mbele!
Mimi ni kijana ambaye nimehitimu elimu ya chuo cbe dodoma. Nimeona nije kuomba ushauri au mbinu mbadala ya kuweza kupata ajira japo sina experience. Wakuu ni muda sasa toka 2010 nimekuwa nikiomba kazi sehemu mbalimbali ila kwa kweli sijabahatika hata kuitwa ktk interview hata 1 ukizingania nimeapply sana hata kumbukumbu sina tena ya idadi. Nina advance diploma ya business administration upper second. Baada ya analysis ya kutosha nimegundua experience ndio inayonicost. Wengi wetu tunajua siku hizi kazi za volunteer na internship nazo zimekuwa ni ishu kama ajira ya kawaida so naombeni ushauri wakuu hasa ukizingatia mtaani ni balaa. Heshima kwenu wakuu ila naombeni tuwe waungwana lugha ya matusi isitumike. Ahsanteni sana.
Mimi ni kijana ambaye nimehitimu elimu ya chuo cbe dodoma. Nimeona nije kuomba ushauri au mbinu mbadala ya kuweza kupata ajira japo sina experience. Wakuu ni muda sasa toka 2010 nimekuwa nikiomba kazi sehemu mbalimbali ila kwa kweli sijabahatika hata kuitwa ktk interview hata 1 ukizingania nimeapply sana hata kumbukumbu sina tena ya idadi. Nina advance diploma ya business administration upper second. Baada ya analysis ya kutosha nimegundua experience ndio inayonicost. Wengi wetu tunajua siku hizi kazi za volunteer na internship nazo zimekuwa ni ishu kama ajira ya kawaida so naombeni ushauri wakuu hasa ukizingatia mtaani ni balaa. Heshima kwenu wakuu ila naombeni tuwe waungwana lugha ya matusi isitumike. Ahsanteni sana.