Niambie Tu
Senior Member
- May 29, 2022
- 162
- 272
Habari.
Nimeeandaa Cv vizuri na nina uzoefu wa kazi mzuri.
Mwezi uliopita na mwezi nimefanya interview tatu kiukweli sijabahatika Kupata kazi kote.
Moyo wangu uwa unaumia sana,mara zote nakosaga confidence nisipopata nafasi ya kazi,hata inaniondolea nguvu ya kuendelea kuomba ajira sehemu nyingine.
Naombeni mnipe ushauri ninakwama wapi wakuu.
Maana najua kuna wazoefu humu.
Mimi nilichogundua Tatizo ni Lugha(Nina misamiati michache ya kiingereza)
Nimeeandaa Cv vizuri na nina uzoefu wa kazi mzuri.
Mwezi uliopita na mwezi nimefanya interview tatu kiukweli sijabahatika Kupata kazi kote.
Moyo wangu uwa unaumia sana,mara zote nakosaga confidence nisipopata nafasi ya kazi,hata inaniondolea nguvu ya kuendelea kuomba ajira sehemu nyingine.
Naombeni mnipe ushauri ninakwama wapi wakuu.
Maana najua kuna wazoefu humu.
Mimi nilichogundua Tatizo ni Lugha(Nina misamiati michache ya kiingereza)