habari wana Jf!? naomba mnisaidie kunishauri mm ninaelimu ya form 4 ya c moja. ninamiaka 31 sasa wana jf kwa elimu hiyo nimekuwa nikipata kazi za kizushi tu nimechoka. je inawezekana mm kuanza kula kitabu pamoja na umri huu, eti na mmm nikawa na degree? mm kwa mtazamo wangu nimeona bora nisomee mambo yanayohusu computar indip, but waungwana sijui vyuo, corse zimekaa vipi na ipi iko best kwa dunia ya sasa. hata mambo ya gharama. naomba mnitoe ujingani