Msaada wa haraka hii hesabu!!!

2^x=4x apply log
xlog2=log 4x
xlog 2=log 4+log x
xlog 2-2log 2=log x
log 2 (x-2)=log x cancel log throughout
2(x-2)=x
2x-4=x
x=4 ,
hili swali lipo kama 3^x= 9x , jibu ni x=3.

hauwezi kuzimaliza log kizembe namna hiyo ndg.
 
Nimepitia mabishano na solution zenu pamoja na thread ya huyu jamaa nikiwa na T.O wa advanced mathematics mwaka 2009 ametoka PUGU na kwa sasa yupo UDSm anasoma BCOM finance Tumecheka sana kutokana kuwa hili swali tumeshalifanyia kazi na huyu T.O ELINEEMA MOLA alipata 98% ya Pure math form six.
JIBU LA SWALI KUNA JAMAA MMOJA kapata ameandika comenti kuwa Hufanywa kwa njia ya Inspection yaani makadilio hili swali ni pamoja na lile la 3^x=9x huwa hakuna njia maalumu zaidi ya kupachika number na kuzijaribu kwenye equation.ASANTEN N POLEN KWA KUMALIZA ROUGH KUTAFUTA JIBU. Na pia kama bwana DASA unabisha toa njia niikosoe.

unamaanisha kuwa huyo jama hawezi kosea kitu. We vip!
 
Nimepitia mabishano na solution zenu pamoja na thread ya huyu jamaa nikiwa na T.O wa advanced mathematics mwaka 2009 ametoka PUGU na kwa sasa yupo UDSm anasoma BCOM finance Tumecheka sana kutokana kuwa hili swali tumeshalifanyia kazi na huyu T.O ELINEEMA MOLA alipata 98% ya Pure math form six.
JIBU LA SWALI KUNA JAMAA MMOJA kapata ameandika comenti kuwa Hufanywa kwa njia ya Inspection yaani makadilio hili swali ni pamoja na lile la 3^x=9x huwa hakuna njia maalumu zaidi ya kupachika number na kuzijaribu kwenye equation.ASANTEN N POLEN KWA KUMALIZA ROUGH KUTAFUTA JIBU. Na pia kama bwana DASA unabisha toa njia niikosoe.

this sounds TRUE boss!
i was one of the best maths students some yrs back...nimefundishwa na Ugulumu pale Tosamaganga(Basic Maths and Add maths),then Mkwawa na Mtalamu Kavuraya na Mtaalam mmoja alikuwa Mwasomebody wakisaidiwa na Babu mmoja mmoja hivi...i was really good. nimecheck solution za Husninyo na mwenzake DASA zote sio justfiable, wanacheza faulo kwenye log principles kwa kuwa wanalijua jibu basi imekuwa shida. Namshauri DASA asiende kumdanganya mwanae kwa kuwa atakosa na maswali mengine kwa kumpandikizia principles ambazo ni fake.
 
unamaanisha kuwa huyo jama hawezi kosea kitu. We vip!

sio maana yangu ila nilitaka kukudhihilishia kuwa tumecheza nalo saana hususani na mkali wng.Kama nimekuudhi bwana MZEE nisamehe.ILA JIFUNZE KUWA NA APRECIATION NA WATU WALIOFANYA MAMBO YA KIPEKEE.
 
sio maana yangu ila nilitaka kukudhihilishia kuwa tumecheza nalo saana hususani na mkali wng.Kama nimekuudhi bwana MZEE nisamehe.ILA JIFUNZE KUWA NA APRECIATION NA WATU WALIOFANYA MAMBO YA KIPEKEE.

kaka ulianza vizur ila umevulunda mwishoni....kuhusu kukubali watu yah hiyo muhimu kwa wanaostahili na unaangalia alichokifanya kina impact gani kwa jamii,sasa mimi na akili zangu timamu siwezi kumkubali mtu kisa kapata maths A hata la 100% kwa sababu NECTA ni nothing wanachofanya ni kurudia maswali so mtu akikomaa na past papers anapga banda zuri tu,ila wewe endelea kumkubali kama ndio ideology yako hiyo.
 
Baada ya kupitia Uzi kurasa kwa ukurasa, post kwa post nimebaini kweli Hisabati ni janga la kitaifa. Ukweli ni kwamba hako kamlinganyo hakana analytical solution, hizo hesabu mbuzi zilizoletwa hapo juu are all FALSE. Njia pekee inayonijia kichwani ni kutumia numerical means kama Newton-Raphson au Newton-Gauss (maybe). By the way, Na mlinganyo unaonekana una multiple zeros.

NB: Google helps.
 
kaka ulianza vizur ila umevulunda mwishoni....kuhusu kukubali watu yah hiyo muhimu kwa wanaostahili na unaangalia alichokifanya kina impact gani kwa jamii,sasa mimi na akili zangu timamu siwezi kumkubali mtu kisa kapata maths A hata la 100% kwa sababu NECTA ni nothing wanachofanya ni kurudia maswali so mtu akikomaa na past papers anapga banda zuri tu,ila wewe endelea kumkubali kama ndio ideology yako hiyo.

Tufanye umeshinda maana thread hii ilikuwa inatafuta jibu la hesabu ila wewe ni mkagua sentensi na umefanikiwa kupata ulichopata kwenye comment yangu nawe unastahili sifa YA MIPASHO ila jamaa sifa yake itabaki ni ya kujua HESABU sio tu kwa kupata marks niliyoitaja hapo juu.JAMAA NI SPECIAL CASE KWENYE MAMBO YA MATHs NA Sio mimi tu ninaetambua hivyo bali ni wengi wanaomjua ikiwemo rais wako.Kwa sasa anasoma huku anafundisha Hesabu kwenye chuo fulan cha Bussness alipewa mwaliko.
 
Tufanye umeshinda maana thread hii ilikuwa inatafuta jibu la hesabu ila wewe ni mkagua sentensi na umefanikiwa kupata ulichopata kwenye comment yangu nawe unastahili sifa YA MIPASHO ila jamaa sifa yake itabaki ni ya kujua HESABU sio tu kwa kupata marks niliyoitaja hapo juu.JAMAA NI SPECIAL CASE KWENYE MAMBO YA MATHs NA Sio mimi tu ninaetambua hivyo bali ni wengi wanaomjua ikiwemo rais wako.Kwa sasa anasoma huku anafundisha Hesabu kwenye chuo fulan cha Bussness alipewa mwaliko.

you real need to be a compaign manager maana unachokifanya humu sio kingne zaidi ya kusifia watu sifa za kijinga....kuhusu mchz mi cmjui ila kuhusu ualimu wapo wengi mfano mwalami na ametoa madogo kibao tu na hakuna mtu anae mpraise mwalami kama wewe unavyofanya kwa huyo mchz wako.Hizo za kishamba kaka wajanja hatunaga...
 
you real need to be a compaign manager maana unachokifanya humu sio kingne zaidi ya kusifia watu sifa za kijinga....kuhusu mchz mi cmjui ila kuhusu ualimu wapo wengi mfano mwalami na ametoa madogo kibao tu na hakuna mtu anae mpraise mwalami kama wewe unavyofanya kwa huyo mchz wako.Hizo za kishamba kaka wajanja hatunaga...

kuna theory inasema Ukimkimbiza chiz aliyechukua nguo zako wakati unaoga wewe ndo utakuwa chizi sasa ngoja nitumie uamuzi wa KUACHA KUMKIMBIZA CHIZ.Ila chukua angalizo hili."CHUNGA SANA MAANA WATU KAMA NYIE HUWA WANAISHIA KUWA WACHAWI kwa kukataa wenzao kuwa wapo juu.
 
kuna theory inasema Ukimkimbiza chiz aliyechukua nguo zako wakati unaoga wewe ndo utakuwa chizi sasa ngoja nitumie uamuzi wa KUACHA KUMKIMBIZA CHIZ.Ila chukua angalizo hili."CHUNGA SANA MAANA WATU KAMA NYIE HUWA WANAISHIA KUWA WACHAWI kwa kukataa wenzao kuwa wapo juu.

aliye juu muumba tu binadamu huna guarantee ya kuwa juu hata kidogo....yani wewe unanikumbusha tajir mmoja ameshafarik alikuwa anajiita super hapa mjini ila siku ya kumuaga alikuwa amepoa...so u just play your part in your life and keep quiet with your achievements or losses.
 
aliye juu muumba tu binadamu huna guarantee ya kuwa juu hata kidogo....yani wewe unanikumbusha tajir mmoja ameshafarik alikuwa anajiita super hapa mjini ila siku ya kumuaga alikuwa amepoa...so u just play your part in your life and keep quiet with your achievements or losses.
Mada ya lugha ya sayansi hii, mambo ya "aliye juu muumba" weka pembeni kwanza.
 
wakuu wote mnaohoji log ilivyopotea nilishasawazisha kwenye post yangu iliyofatia labda ilikuwa ngumu kuiona. fata mtiririko huu ili tuelewane
2[SUP]x[/SUP] =4x..............................................apply log
log2[SUP]x[/SUP]=log4x.
Xlog2=log(2[SUP]2[/SUP])X.
Xlog2=log(2[SUP]2[/SUP])+logX.
Xlog2=2log2+logX
logX=Xlog2-2log2
logX=(X-2)Log2.........................gawanya kwa (x-2)log2both sides
logx =1
(x-2)log2
logx =1.............................................................andika hiyo katika mfumo wa log under base,
log2(x-2)


log [SUB]2(x-2)[/SUB]X=1..................................................................................ibadilishe katika exponential form
2(x-2)[SUP]1[/SUP]=x
2x-4=x
2x-x=4
X=4.

Dada angu Husninyo , nadhani hapo kwenye red utakuwa umpitiwa , hauwezi kuzi ingiza hizi no (x-2) ndani ya log kienyeji hvyo ,
Nakumbuka hii hesabu ilituangaisha sana O-level , mwisho wa siku soln pekee kwa mwanafunzi wa O-level ni kuchora graph tu.
Log ina limitations zake katika kusolve matatizo , na mojawapo ni ili , its unsolvable kwa kutumia log concept ,
Ndo maana ukifika A-level unafundishwa other estimation techniques kama Newton Raphson na nyinginize
 
Dasa , kama mtoto wako ni mwanafunzi wa O-level ,mwambie hii ngoma haimuhusu , atapoteza muda wake tu kwa sasa
Sababu solution pekee kwake ni kuchora graph ambayo ni time consuming na mwisho wa siku asilitegemee Necta ,
sababu haliwahusu , sanasana atatiwa presha na walimu wa tutuion na vitabu vya nyangwine type !!!
 
Ndo maana ukifika A-level unafundishwa other estimation techniques kama Newton Raphson na nyinginize
Newton Raphson haiwezi kamwe kutoa jibu kwa sababu wewe mwenyewe umesema Newton Raphson ni makadirio tu, wakati hili swali lina jibu thabiti ambalo ni namba nzima, nne!
 
Nimepitia mabishano na solution zenu pamoja na thread ya huyu jamaa nikiwa na T.O wa advanced mathematics mwaka 2009 ametoka PUGU na kwa sasa yupo UDSm anasoma BCOM finance Tumecheka sana kutokana kuwa hili swali tumeshalifanyia kazi na huyu T.O ELINEEMA MOLA alipata 98% ya Pure math form six.
JIBU LA SWALI KUNA JAMAA MMOJA kapata ameandika comenti kuwa Hufanywa kwa njia ya Inspection yaani makadilio hili swali ni pamoja na lile la 3^x=9x huwa hakuna njia maalumu zaidi ya kupachika number na kuzijaribu kwenye equation.ASANTEN N POLEN KWA KUMALIZA ROUGH KUTAFUTA JIBU. Na pia kama bwana DASA unabisha toa njia niikosoe.

jamani ni jambo jema kukubali kazi za watu kwa ufupi masela wameshuka vizuri sana na huyo TO atakuwa wamabox maana concept hapa ni

log a/log b is equal to log a base b na kama jamaa walivyo shuka ni very correct.
log 9/log 3 is equal to 2 and log 9 base 3 is equal to 2 hence solved!
big up hussinyo and the rest for good job
 
jamani ni jambo jema kukubali kazi za watu kwa ufupi masela wameshuka vizuri sana na huyo TO atakuwa wamabox maana concept hapa ni

log a/log b is equal to log a base b na kama jamaa walivyo shuka ni very correct.
log 9/log 3 is equal to 2 and log 9 base 3 is equal to 2 hence solved!
big up hussinyo and the rest for good job

utumwa wa fikra mbaya sana, huyu jamaa na TO wake wanaonekana wamezaji 2 wa mambo.
 
Not all mathematics have a direct way of solving, that is why we have method of "solving by inspection." Just trust your mind that 4 is the answer and it's the only answer.
 
Back
Top Bottom