MSAADA....U-torrent

sanawari

Member
Jun 5, 2012
8
1
habari wana JF ..HIVI NI SPEED GANI NZURI KWA KU DOWNLOADING MOVIE KWENYE U TORRENT WAKUU...BTWN SEC-5MINITS.
 
mimi nakupa kwanza warining
ujue hapo unafanya copyright infringment
utapewa warning wkt unadownload na wanaweza kukutrace kwa kutumia IP address its very easy kukudaka
marekani washafungwa wengi tu na nchi za ulaya pia.
soma hii kesi ya Pirate bay The Pirate Bay - Wikipedia, the free encyclopedia
sometimes unaweza kutumiwa virus vikauwa pc kwani ni illegal downloading unayotaka kufanya
what to do ni kununua dvd online utapewa instructions za kufanya
wanaita digital downloading after making payment.
acheni kupenda vya bure madhara yake makubwa sana.
 
mimi nakupa kwanza warining
ujue hapo unafanya copyright infringment
utapewa warning wkt unadownload na wanaweza kukutrace kwa kutumia IP address its very easy kukudaka
marekani washafungwa wengi tu na nchi za ulaya pia.
soma hii kesi ya Pirate bay The Pirate Bay - Wikipedia, the free encyclopedia
sometimes unaweza kutumiwa virus vikauwa pc kwani ni illegal downloading unayotaka kufanya
what to do ni kununua dvd online utapewa instructions za kufanya
wanaita digital downloading after making payment.
acheni kupenda vya bure madhara yake makubwa sana.

Mkuu, hebu mweleweshe jinsi ya kufanya ili kubuy online kwani kwakweli wabongo wengi hawafanyi hivyo wengine kwa hofu, wengine kwa kutokujua!
 
mimi nakupa kwanza warining
ujue hapo unafanya copyright infringment
utapewa warning wkt unadownload na wanaweza kukutrace kwa kutumia IP address its very easy kukudaka
marekani washafungwa wengi tu na nchi za ulaya pia.
soma hii kesi ya Pirate bay The Pirate Bay - Wikipedia, the free encyclopedia
sometimes unaweza kutumiwa virus vikauwa pc kwani ni illegal downloading unayotaka kufanya
what to do ni kununua dvd online utapewa instructions za kufanya
wanaita digital downloading after making payment.
acheni kupenda vya bure madhara yake makubwa sana.

Acha kumtisha mwenzio bongo hamna hiyo sheria! nina miaka mitano natumia utorrent napata vitu latest kila leo.
 
Acha kumtisha mwenzio bongo hamna hiyo sheria! nina miaka mitano natumia utorrent napata vitu latest kila leo.

so ndo hapo, mie na miaka 7 natumia bila tabu yoyote


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
google andika jina la movie unayotaka utaelekezwa wapi pa kuipata
utapewa maelekezo yote how to purchase online
utapewa details zote za huyo service provider,adress yake,location, how to pay, how to download nk
ila ujue right to cancell payment inakuwepo kabla hujaanza kudowload
ukishalipa utatumiwa additional terms and conditions
cha muhimu uwe na credit card,visa au mastercard ili uweze kulipa online.
mnaoiba ibeni tu lakni ipo siku mtajuta.
Mkuu, hebu mweleweshe jinsi ya kufanya ili kubuy online kwani kwakweli wabongo wengi hawafanyi hivyo wengine kwa hofu, wengine kwa kutokujua!
 
google andika jina la movie unayotaka utaelekezwa wapi pa kuipata
utapewa maelekezo yote how to purchase online
utapewa details zote za huyo service provider,adress yake,location, how to pay, how to download nk
ila ujue right to cancell payment inakuwepo kabla hujaanza kudowload
ukishalipa utatumiwa additional terms and conditions
cha muhimu uwe na credit card,visa au mastercard ili uweze kulipa online.
mnaoiba ibeni tu lakni ipo siku mtajuta.

Wengine hata hiyo credit card hawajui!!! Wao wana card ya CRDB, NBC, NMB etc!
Na hawaelewi kwamba kwa kutumia baadhi ya card hizo wanaweza kununua online ikiwa zimewezeshwa kwa shughuli hiyo.
 
standard chartered bank, exim nadhani na crdb wana hizo visana master card.
ndani yake kuna number utatakiwa kuingiza nadhani digits 14 na pia utaambiwa uingize expire date ya kadi yako na no zingine tatu za siri zipo ktk kadi ukishaingiza bank husika itaveify payment na kukuambia uingize pasword yako then bank itakukata hicho kiasi na kutuma kwa huyo service privider unakonunua dvd.so wizi hakuna.
 
standard chartered bank, exim nadhani na crdb wana hizo visana master card.
ndani yake kuna number utatakiwa kuingiza nadhani digits 14 na pia utaambiwa uingize expire date ya kadi yako na no zingine tatu za siri zipo ktk kadi ukishaingiza bank husika itaveify payment na kukuambia uingize pasword yako then bank itakukata hicho kiasi na kutuma kwa huyo service privider unakonunua dvd.so wizi hakuna.
Ongezea Barclays, NBC pia wanatumia debit card, tena huhitaji kuwafuata benki kama wataka kujiunga na mfumo wa manunuzi online, kama paypal.
 
standard chartered bank, exim nadhani na crdb wana hizo visana master card.
ndani yake kuna number utatakiwa kuingiza nadhani digits 14 na pia utaambiwa uingize expire date ya kadi yako na no zingine tatu za siri zipo ktk kadi ukishaingiza bank husika itaveify payment na kukuambia uingize pasword yako then bank itakukata hicho kiasi na kutuma kwa huyo service privider unakonunua dvd.so wizi hakuna.

Yeah! Kweli Mkuu Lokissa, CRDB wanayo huduma hiyo. Mimi nilishawahi kununua online kwa card yao. Mtu ukifika tu bank ya CRDB unaelekezwa kila kitu then unaenjoy buying online!
 
Ongezea Barclays, NBC pia wanatumia debit card, tena huhitaji kuwafuata benki kama wataka kujiunga na mfumo wa manunuzi online, kama paypal.

Mkuu, kuna kitu umegusia hapo ambacho nataka kujua zaidi, PAYPAL. Unamaanisha NBC wanaweza kunipa huduma ya Paypal ili sasa niwe ninafanya payments kwa Paypal?
 
Kuna wakati unakuta online software nyingine ya muhimu sana kwako lakini inalipiwa hela kidogo sana, labda $2 nk lakini mtu unaikosa. Ukiwa na kadi hizi unainunua na kuipata mara moja then unaenjoy!
 
Acheni vitisho Utorrent ni safe zaidi ya maelezo.. Nna album za wasanii, movie na vitabu kibao kupitia Utorrent kwa miaka kibao sasa..

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Acheni vitisho Utorrent ni safe zaidi ya maelezo.. Nna album za wasanii, movie na vitabu kibao kupitia Utorrent kwa miaka kibao sasa..

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Tatyzo hapa bongo bado tupo tupo kwanza ikija kufuatwa sheria ya mambo hayo mbona tutajificha mvunguni mwa vitanda au kwenye dari kama vitoto vya panya........!!!!
Krapka Davinoooooooooo
 
all western countries use utorrent acha ubongo lala... wanao kamatwa wanafanya pirate ya namna ingine lakin sio kitu kisha tupiwa torrent alaf mimi mteja third part nije kukamatwa.. never
 
Back
Top Bottom