The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,072
Hahaha!!!!Merytina,mbona mimi nafahamu wanawake kibao ambao a day kabla ya sendoff yao wanakwenda kulalana na mabwana zao eti cha mwisho na weekend wanafunga ndoa na mtu mwingine,inatokea mara nyingi tu. Labda useme 'why human beings are like this?' , hapo nitakuelewa.