Msaada pls

Naona jamaa bada ya kupiga hesabu za miaka minane na mimba mbili ambazo hazikuwa na mafanikio kaamua kuingia mitini, labda huyu wa Arusha haikumchukua muda mrefu kushika mimba na hatimaye kupata mtoto wake wa kwanza. Poleni sana, nasema poleni maana na wewe hili linakuathiri kwa namna moja au nyingine. Ukimuona mdogo wako anaumia na wewe lazima utakuwa unasononeka.
Yes lazima niumie ni mdogo wangu anayenifuata naishi naye tangu yupo mdogo tangu niko msichana mpaka sasa nimeolewa niko naye ni mtu wa karibu sana.
 
Mweeeeeeee!! Mwee !!! Mwee!!! Mwee!! Ndo nini thatha kumfanya ivo mtoto wa mwedhio jamaniii??? Basi tufanye ivi mie thijaoa na ninatafuta mchumba sasa kama yuko tayari mie ntamuoa vizuri tu..
 
Mnajua kutuumiza sana

Boys wanaumiza. But men don't. But women prefer boys to men. Lakini matatizo yakitokea ndio mnaanza kuwalaumu sio tuu boys but also men. Having said that, sad to hear mdogo wako alishawahi kuwa na miscarriage mara mbili. Inawezekana haya matatizo ndio yamemfanya jamaa akajaribu nje? Kitendo cha kumhamisha mtoto na mama yake toka Arusha kuja Dar, might also show that he wants to responsible and be part of his child's life. Lakini kitendo cha yeye kukata mawasiliano, raises many questions. Hamjui anapokaa? Haya mambo mnabidi mkae chini pande zote mbili myajadili.

Meanwhile, mdogo wako anayo haki ya kulia. Kwa muda wote waliokuwa pamoja na stage waliokuwa wamefikia kwenye mahusiano yaho, anayo haki ya kulia. So let her cry. But make sure she gets the support she needs in this very difficult time. Pamoja na hayo amshukuru Mungu ameyajua haya kabla ya kufunga ndoa yenyewe. Amshukuru Mungu kwa kuyajua haya mapema, otherwise things could have got even worse.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom