Susy
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,431
- 221
Usiku anaamka ananiambia dada mbona mimi nimetulia, au mimi ni mbaya, mbona nina tabia nzuri, sijawahi kumsaliti, sijawahi kulala na mtu zaidi yake yaani, nyumba imekuwa kama msiba hakujawashwa redio wala TV
i real feel sorry for her!!!
Namuombea Mungu tu, sina cha kumwambia!!!!