Msaada pls

Joyceline

JF-Expert Member
Jan 9, 2009
1,010
166
mdogo wangu anafunga ndoa mwezi wa tisa, tupo kwenye process ila jan amegundua mchumba wake ana mwanamke na mtoto mchanga wa miezi mmitatu wamefanana kama mapacha, alizaa naye akiwa arusha amemleta dar amempangia nyumba ila jamaa ni smart imetumika trick kali sana kumnasa, mdogo wangu amechanganyikiwa sana nimemwambia kila neno nmechoka, embu nipeni tips za kumsaidia, ndani hakupikwi wala hakuliki.
 
Aiseeee...sasa kuna ndoa hapo kweli???!Nwy wakae waongee maana kuna
nnaemjua ana mtoto wa miezi kadhaa na mwezi wa saba anafunga ndoa na mwanamke mwingine..mke mtarajiwa kakubali kwakua kaambiwa mwenzie hapendwi ilikua tamaa tu!!
 
Huyu jamaa sidhani kama ana nia nzuri na mdogo wako yaani hadi kampangishia nyumba huyo mwingine nafikiri cha msingi ni kuweka kikao na kujua black and white kuhusiana na hili suala otherwise anakoelekea atalia vilio vingi zaidi ya ambavyo analia sasa hivi
 
Mimi nimemshauri aachane naye, maana jamaa tangu jana hajasema chochote na kwenye simu hapatikani, sasa mdogo wanguananiuliza nimsrudishie vitu vyake eg. engagement ring nk maana ni ujinga kuvaa engegement mtu ana mwanamke tayari , halafu wala hajuti, huyo dada alikuwa anakaa arusha akamuhamishia dar, ili awe karibu na mtoto wake kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari. ndo mtoto wake wa kwanza, mdogo wangu alikuwa na matatizo ya tumbo la uzazi ila alishatibiwa kwa hiyo aliwahi kubeba mimba mbili zikatoka, nadhani jamaa akaamua kujaribu kwingine
 
Wako pamoja tangu 2002 mpaka leo, hajawahi kuwa na mwanume mwingine zaidi ya huyo, kwa ufupi hamjui mwanaume mwingine zaidi ya huyo mchumba wake. tangu mdogo ameumia sana
 
Wako pamoja tangu 2002 mpaka leo, hajawahi kuwa na mwanume mwingine zaidi ya huyo, kwa ufupi hamjui mwanaume mwingine zaidi ya huyo mchumba wake. tangu mdogo ameumia sana
8 years jamaa anakuja kumpotezea mdogo wako muda, mwambie atulie tu kwanza.
 
Mimi nimemshauri aachane naye, maana jamaa tangu jana hajasema chochote na kwenye simu hapatikani, sasa mdogo wanguananiuliza nimsrudishie vitu vyake eg. engagement ring nk maana ni ujinga kuvaa engegement mtu ana mwanamke tayari , halafu wala hajuti, huyo dada alikuwa anakaa arusha akamuhamishia dar, ili awe karibu na mtoto wake kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari. ndo mtoto wake wa kwanza, mdogo wangu alikuwa na matatizo ya tumbo la uzazi ila alishatibiwa kwa hiyo aliwahi kubeba mimba mbili zikatoka, nadhani jamaa akaamua kujaribu kwingine
Aiseee bora amuache...inaonekana jamaa anatafuta mzaaji tu na sio mapenzi haswa!!Atafute bahati yake pengine maana hapo ikitokea akakubali kuolewa nae alafu asipate bahati ya kuzaa atanyanyasika sana bila kusahau masimango!!!
 
amelia kuanzia jana saa 10 jioni mpaka saa 11 asubuhi, nalala, naamka namkuta analia nimetoka kwenda kazini hajalala, na mchana huu napiga simu analia tu BP imeshuka
Mwambie aache kulia banaa wanaume wapo wengi sana ya nini kumlilia mwanaume who's not worth it.
 
dah! ushauri hapo huyo mdogo wako aachane na huyo jamaa. Arudi kwenye dini haswa! Mungu atampatia mume mwema tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom