Danp36
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,097
- 920
Habari wana jamvi ,
Nina toyota crown nimekuwa nikiitumia kwa mda mrefu ,
Leo katika kuwasha gari asubuhi ,ghafla nakuta gauge /mshare wa mafuta haufanyi kazi vizuri ,yaani unashuka na kupanda mafuta yapo robo tatu tanki.
Vile vile odometer yaani kilometa za gari hazitembei kabisa ,yaani namba hazisogei kabisa zimebaki pale pale .
Msaada wa mawazo nijue ABC ya tatizo kabla sijaenda kwa fundi.
Natanguliza shukrani.
Nina toyota crown nimekuwa nikiitumia kwa mda mrefu ,
Leo katika kuwasha gari asubuhi ,ghafla nakuta gauge /mshare wa mafuta haufanyi kazi vizuri ,yaani unashuka na kupanda mafuta yapo robo tatu tanki.
Vile vile odometer yaani kilometa za gari hazitembei kabisa ,yaani namba hazisogei kabisa zimebaki pale pale .
Msaada wa mawazo nijue ABC ya tatizo kabla sijaenda kwa fundi.
Natanguliza shukrani.