Msaada nimepoteza vyeti

juliusJr

Senior Member
Jul 14, 2016
180
61
Habari wanazengo mmeamkaje

Kijana wenu nimepata changamoto kidogo nimepoteza bahasha yangu yenye vyeti vyangu na kiukweli sijui nime misplace wapi bahasha ilikua na cheti cha form original ila nina result slip yake na cheti cha form six original na chet cha kuzaliwa original cha kuzaliwa sio issue sana maana naweza fatilia Rita nikapata napenda kujua hivyo vyeti viwili navipataje na je NECTA wana utaratibu wakutoa vyeti vingine wana jamavi na je kama kuna utaratibu naanzia wapi nikipata loss report kutoka polisi naombeni msaada wenu maana kuna mahala nafatilia kazi na wanahitaji izo documents
 
Mimi Nadhani ukafuatilie huko huko necta wao si ndio wanauhusika na mambo hayo?

Nanda huko watakushauri vizuri
 
Habari wanazengo mmeamkaje

Kijana wenu nimepata changamoto kidogo nimepoteza bahasha yangu yenye vyeti vyangu na kiukweli sijui nime misplace wapi bahasha ilikua na cheti cha form original ila nina result slip yake na cheti cha form six original na chet cha kuzaliwa original cha kuzaliwa sio issue sana maana naweza fatilia Rita nikapata napenda kujua hivyo vyeti viwili navipataje na je NECTA wana utaratibu wakutoa vyeti vingine wana jamavi na je kama kuna utaratibu naanzia wapi nikipata loss report kutoka polisi naombeni msaada wenu maana kuna mahala nafatilia kazi na wanahitaji izo documents
fuata rataribu kama zilivyo elezwa katika nakala hii
 

Attachments

  • FOMU_YA_OMBI_LA_CHETI_MBADALA_MEI_2019.pdf
    235.4 KB · Views: 14
Back
Top Bottom