Msaada kuhusu Ubungo Hostel - UDSM

GIANT90

Member
Apr 16, 2015
45
22
Habari wadau wa JF?

UDSM ina hostels Ubungo karibu na Mic hotel au Ubungo bus terminal ambazo ni kwa ajili ya Masters na PhD students.

Naomba kuuliza utaratibu iwapo mwanafunzi wa Masters anahitaji kuishi Ubungo na sio Mabibo, what procedures to follow.

Msaada kwa waliowahi kusoma hapo UDSM.

Ahsante.
 
Kwa nini wasomi tunapenda hearsay?? Kwa nini utafute majibu humu wakati wahusika wa hostel wenyewe wapo??

Fuata njia sahihi kupata majibu.
Kwanini asiende hapo hostel akauliza wahusika? Usomi Gani huu usiokuwa na uelewa? Kama anaishi Mabibo hostel maana yake anapita Kijazi interchange Kila akienda udsm,ni umbali Gani toka kijaz inter.hadi hostel za Ubungo.Haya siku hizi Kuna simu ,hata hiyo kashindwa? Elimu Gani hii ya kipumbavu!
 
Kwanini asiende hapo hostel akauliza wahusika? Usomi Gani huu usiokuwa na uelewa? Kama anaishi Mabibo hostel maana yake anapita Kijazi interchange Kila akienda udsm,ni umbali Gani toka kijaz inter.hadi hostel za Ubungo.Haya siku hizi Kuna simu ,hata hiyo kashindwa? Elimu Gani hii ya kipumbavu!
Mimi nimemshangaa. BTW unaweza kuta hata sio mwanafunzi bali ni mchangamsha genge tu
 
Procedures to Follow

1. Press *150*03# (Crdb/ Sim Banking)
2.Select "Send Money"
3. Enter My Account number
4.Choose amount to send
5. Enter your password

Here you w'll be transfered from one hostel to another (that you wish to settle)
 
Kwanini asiende hapo hostel akauliza wahusika? Usomi Gani huu usiokuwa na uelewa? Kama anaishi Mabibo hostel maana yake anapita Kijazi interchange Kila akienda udsm,ni umbali Gani toka kijaz inter.hadi hostel za Ubungo.Haya siku hizi Kuna simu ,hata hiyo kashindwa? Elimu Gani hii ya kipumbavu!
Sipo Dar, kuna kijana anategemea kwenda kuanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom