Wadau, hapa niliko napata internet kwa namna mbili:
Kwanza, ni kupitia Airtel. Kwa line yao inasomeka kwamba napata EDGE lakini actual speed ni kama 15Kbps nikidownload
Pili, ni kupitia Voda. Kwa line yao napata GPRS lakini ninapodownload napata zaidi ya 40Kbps
Sasa inakuwaje GPRS wananipa speed kubwa kuliko EDGE wakati nilitarajia vice versa?
Kwanza, ni kupitia Airtel. Kwa line yao inasomeka kwamba napata EDGE lakini actual speed ni kama 15Kbps nikidownload
Pili, ni kupitia Voda. Kwa line yao napata GPRS lakini ninapodownload napata zaidi ya 40Kbps
Sasa inakuwaje GPRS wananipa speed kubwa kuliko EDGE wakati nilitarajia vice versa?