pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Hii itakuwa ni zaidi ya mara tano au sita kusumbuliwa na hawa jamaa,
Iko hivi kin'gamuzi cha zuku kimeisha, wanakutumia msg zaidi ya kumi kwa siku wakikutaka ulipe fasta ili usikose huduma,na kwa kuzingatia siku hizi kila kitu ni internet.
Unajikamua kupitia airtelmoney unalipa shs 69,000/=
Unasubiri zaidi ya saa huduma hamna, unapiga simu zuku kuulizia, wanakujibu malipo hayajafanyika, unapiga simu airtel wankwambia oooh tunaomba radhi malipo yako yananin'ginia hewani kwahiyo subiri masaa 24 ya kazi hela yako itarudi.
Unasubiri wiki nzima hakuna malipo kurudi wala huduma ya zuku, je huu sio uhuni?
Ni leo tu nimeongea na wahudumu wawili wa zuku, wakanijibu mbovu pamoja na kunikatia simu, nikiruhusiwa naweza kuweka majina yao hapa, sasa nauliza mie si nadai hela yangu? Wananiambia nenda airtel, nako nikajibiwa mbovu pia baada ya kupiga simu.
Hivi nataka ushauri nifanyeje? Au nichukue hatua gani?
Roho inaumaaaaaa mjue.
Hela ngumu mtaani na hawa jamaa wanatuibia mchana kweupeeeeee
Update:
Leo jioni muamala umefanikiwa kutumwa zuku na kazi zimeanza kama kawaida
Ahsante airtel ila line yenu najitoa.
Iko hivi kin'gamuzi cha zuku kimeisha, wanakutumia msg zaidi ya kumi kwa siku wakikutaka ulipe fasta ili usikose huduma,na kwa kuzingatia siku hizi kila kitu ni internet.
Unajikamua kupitia airtelmoney unalipa shs 69,000/=
Unasubiri zaidi ya saa huduma hamna, unapiga simu zuku kuulizia, wanakujibu malipo hayajafanyika, unapiga simu airtel wankwambia oooh tunaomba radhi malipo yako yananin'ginia hewani kwahiyo subiri masaa 24 ya kazi hela yako itarudi.
Unasubiri wiki nzima hakuna malipo kurudi wala huduma ya zuku, je huu sio uhuni?
Ni leo tu nimeongea na wahudumu wawili wa zuku, wakanijibu mbovu pamoja na kunikatia simu, nikiruhusiwa naweza kuweka majina yao hapa, sasa nauliza mie si nadai hela yangu? Wananiambia nenda airtel, nako nikajibiwa mbovu pia baada ya kupiga simu.
Hivi nataka ushauri nifanyeje? Au nichukue hatua gani?
Roho inaumaaaaaa mjue.
Hela ngumu mtaani na hawa jamaa wanatuibia mchana kweupeeeeee
Update:
Leo jioni muamala umefanikiwa kutumwa zuku na kazi zimeanza kama kawaida
Ahsante airtel ila line yenu najitoa.