Wanajf wanaohusika na utaalamu wa manunuzi na ugavi naomba mnisaidie kujua ni lini mwisho wa kulipia mitihani ya board ya mwezi wa tano mwaka huu. Nimeiweka hii thread huku kwa sababu nimejaribu kuiweka jukwaa la elimu lakin responce ni ndogo. Naomba msaada wa haraka ndugu zangu.