nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 10,811
- 10,081
Aiseeeditors
Aiseeeditors
Nimeshindwa kuandika oditors hebu andika fasaha nisikosee tena tafadhaliAisee
Ahaa hapo ss kasome business admistration iyo clinical medicine utateseka hadi usiku utakuwa unafanya kazi kama mtumwaSiyo ivo bhana kak yaan kaz isiyo ya utumwa sana job sijui unanielewa hp
Hivi una akili kweli? Kulinganisha mlima Kilimanjaro na kichuguuKati ya bussness administration na clinical medicine ipi kozi nzuri zaid yaani upande wa kujiajili na kuajiliwa,heshima na mishahara yake
Msimpotoshe, kweli kazingu dogo ila hajui anachokifanya. Tumueleweshe tu kwamba BA aachane nayo km na uwezo wa kusoma afya(uwezo wa kifedha na kitaaluma)Ahaa hapo ss kasome business admistration iyo clinical medicine utateseka hadi usiku utakuwa unafanya kazi kama mtumwa
Matokeo hay math D PHYS D CHES D BIO CMsimpotoshe, kweli kazingu dogo ila hajui anachokifanya. Tumueleweshe tu kwamba BA aachane nayo km na uwezo wa kusoma afya(uwezo wa kifedha na kitaaluma)
Unamshaur mtu kitu kulingana na anachopenda ss yy kasema hatak kazi ya utumwa ww hujui kazi za afya zilivo ss inabid umshaur kitu ili hata akipata kazi afurahie kazi yakeMsimpotoshe, kweli kazingu dogo ila hajui anachokifanya. Tumueleweshe tu kwamba BA aachane nayo km na uwezo wa kusoma afya(uwezo wa kifedha na kitaaluma)
Brooo mim nasikiliza mtazamo wakoUnamshaur mtu kitu kulingana na anachopenda ss yy kasema hatak kazi ya utumwa ww hujui kazi za afya zilivo ss inabid umshaur kitu ili hata akipata kazi afurahie kazi yake
Chuo gani utapata clinical medicine kwa pass hizi?Matokeo hay math D PHYS D CHES D BIO C
PrivateChuo gani utapata clinical medicine kwa pass hizi?
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Huwez kupata walau ungekua na C kwa kemia na biology D physics na mathPrivate
Karibu Ndolage Institute of Health Sciences upate kozi ya clinical medicine. PCB ukiwa na DDD + D moja somo jingine unajipatia nafasi asubuhi na mapema.Kati ya bussness administration na clinical medicine ipi kozi nzuri zaid yaani upande wa kujiajili na kuajiliwa,heshima na mishahara yake
Nimeshindwa kuandika oditors hebu andika fasaha nisikosee tena tafadhali
Wewe ndio umenikosoa unapaswa kuandika unicorrect