Nimeinstall application inaitwa signsis kwenye simu, kuna sehemu inahitaji kujaza/attach key, cert na sis nikitaka ku sign application ya helloox sa na nimejaribu kwa njia ya PC kwa kutumia PCsignSis na yenyewe inaleta habari hz hizo sa nimeshindwa niweke nini...au ka kutakuwa na njia nyingine ya kusign naomba msaada