GlorytoGod
Senior Member
- Sep 8, 2012
- 158
- 50
Wana jamvi heshima kwenu,
mimi ninaumwa sana mwili mzima lakini kila nikienda hosp. Naambiwa hawaoni ugonjwa nimeshapima vipimo karibu vyote sasa imebakia kipimo kimoja tu lakini kinaniogopesha naombeni tu ushauri kwenu wandugu kabla cjaenda kwa anayefahamu, je kuna madhara yoyote yatokanayo na kupima afya kwa kutumia kompyuta? Maana ndio kipimo nachotakiwa kwenda kupimwa nacho lakini roho yangu inasita sana jamani nisaidieni ushauri tu.
Mungu awabariki
mimi ninaumwa sana mwili mzima lakini kila nikienda hosp. Naambiwa hawaoni ugonjwa nimeshapima vipimo karibu vyote sasa imebakia kipimo kimoja tu lakini kinaniogopesha naombeni tu ushauri kwenu wandugu kabla cjaenda kwa anayefahamu, je kuna madhara yoyote yatokanayo na kupima afya kwa kutumia kompyuta? Maana ndio kipimo nachotakiwa kwenda kupimwa nacho lakini roho yangu inasita sana jamani nisaidieni ushauri tu.
Mungu awabariki