mimi mtakatifu
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 207
- 482
Sina kazi karibu mwaka wa pili sasa. Kula yangu ni ya shida pakulala ni shida kila kitu kimekuwa shida.
Nimekuwa na mipango mingi lakini nashindwa fanya lolote sababu pesa sina kabisa.
Lakini nina pesa yangu ipo NSSF baada ya kupoteza kazi yangu walinipa mafao ya 33% kwa miezi 6 then baada ya hapo sijapewa lolote.
Nimeandika barua kwa branch manager naambiwa kila nikienda nivute subira nitajibiwa lakini nazungushwa tu miezi sasa.
Nimeshakaa miezi zaidi ya 18 kwa nini hawataki kunipa pesa zangu jamani.
Mwenye ushauri, mbinu au connection anisaidie jamani maisha ni magumu yakiamua kukupiga hakuna ujanja utafanya.
Nisaidieni nadhalilika hapa DSM nipate pesa nifanye biashara au nifuge kuku.
Nimekuwa na mipango mingi lakini nashindwa fanya lolote sababu pesa sina kabisa.
Lakini nina pesa yangu ipo NSSF baada ya kupoteza kazi yangu walinipa mafao ya 33% kwa miezi 6 then baada ya hapo sijapewa lolote.
Nimeandika barua kwa branch manager naambiwa kila nikienda nivute subira nitajibiwa lakini nazungushwa tu miezi sasa.
Nimeshakaa miezi zaidi ya 18 kwa nini hawataki kunipa pesa zangu jamani.
Mwenye ushauri, mbinu au connection anisaidie jamani maisha ni magumu yakiamua kukupiga hakuna ujanja utafanya.
Nisaidieni nadhalilika hapa DSM nipate pesa nifanye biashara au nifuge kuku.