Endangered
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 922
- 228
comfi, tena nchi 8 na 5 by 6. wewe yan full burudani
mkuu, bado bachelor.
hakuna godoro linalomfanya mtu AOTE!
Nunua godoro jembamba lisilo na sponji nyingi.
Hilo halichoki haraka na linakunjika kadiri utakavyo
Magodoro ya Sufu ni poa sana, narudia tena godoro bora ni la SUFU, likichanika unashona, unaweza kushonea ka kitambaa kadogo likawa kama kibubu cha kuhifadhia shekeli, ukiwa na sufu huna hofu ya kuvamiwa na vibaka kwa kua watakuona mlalahoi kumbe umenyesha balaa. Na hapo utafanikiwa kupata usingizi mnono utakaokufanya uote.
Ahsante.
Godoro bado ni Dodoma ndilo angalau linavijiubora lakini mengine ni biashara tu.
hili ndo likoje Mamndenyi? Ndo nalisikia kwako.Godoro la pamba ni namba wani.
yaani nlikuwa naskilizia kama Tanfoam itatajwa, hatimae umetokea. Bila kujali uzito wako, umelitumia kwa muda gani, na matokeo yake yakoje?Tanfoam ni mwisho wa kila kitu.
yaani nlikuwa naskilizia kama Tanfoam itatajwa, hatimae umetokea. Bila kujali uzito wako, umelitumia kwa muda gani, na matokeo yake yakoje?
12, aisee hilo ni noma. Hv hilo ndo la babu mpaka mjukuu ama?Wala sikifichi kama unania ya kununua godoro katafute Tanfoam. Uwe makini sana wanachakachua haya magodoro. Tanfoam huwa hawachanganyi magodoro yao na mengine, hapa na maanisha " only Tanfoam" wanakuwa na aithorized dealer wao tuu kwa magodoro ya Tanfoam tuu...Kwa upande wa muda niliolitumia hata sijui ni miaka mingapi...ila inaweza fika kama 12 hivi halafu kitu bado kipo imara...
hili ndo likoje Mamndenyi? Ndo nalisikia kwako.
Hivi unataka godoro godoro au godoro chapa mtu?
Hivi unataka godoro godoro au godoro chapa mtu?