Wakuu msaada wenu unahitajika.
Kuna ndugu yangu amesoma masomo ya Arts O Level lakini hesabu yupo vizuri.
Huyu ndugu yangu anataka akimaliza form six asome bachelor ya IT.
Sasa anachohitaji kujua ni je ni combi gani anatakiwa lazima asome form 5 & 6 ili iwe rahisi kwa yeye kuapali bachelor ya IT na kupata admission.
Na je mfano akisoma HGL anaweza soma bachelor ya IT?
Natanguliza shukrani kwa mtakaonijibu.
Kuna ndugu yangu amesoma masomo ya Arts O Level lakini hesabu yupo vizuri.
Huyu ndugu yangu anataka akimaliza form six asome bachelor ya IT.
Sasa anachohitaji kujua ni je ni combi gani anatakiwa lazima asome form 5 & 6 ili iwe rahisi kwa yeye kuapali bachelor ya IT na kupata admission.
Na je mfano akisoma HGL anaweza soma bachelor ya IT?
Natanguliza shukrani kwa mtakaonijibu.