momo j
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 374
- 206
komaa naye huyo jamaa akupe portion yako kwenye nyumba. Mawaelewa wanaume ni watata sana hasa ukutane na mlafi wa mali. Mahakama itakupa guidence nini ufanye incase jamaa hata cooperate. Ni PM tu chat zaidi na tufahamiane zaidi. Mi mwenyewe yalinikuta hayo 4 yrs back. Komaa mpaka upate haki yako.Hatukufanikiwa kupata mtoto, ila gari ni replacement ya damage ya gari ambayo ni ya gari yangu ambayo nilinunua wakati hatujafunga ndoa. Anyway hata vikigawanywa pamoja wala sitojali ilimradi haki yangu ipatikani. Chanve ya yeye kuja mahakamani ni ndogo kwa sababu hakuweza kutoa ushirikiano ngazi ya familia na baraza la kata.