nyamatala26
Member
- Jul 18, 2016
- 60
- 37
Duuuuh hiyooo ndo yenyewe
Mkuu ukweli haujifichi! Hii dhana ya kusema wanawake dhaifu wavumilivu etc haipashwi kupewa kipaumbele kwa kila jambo. Ni ukweli usiomezeka kwa walio ndani ya ndoa wakidai wapo kwenye mateso. Tofauti ndani ya nyumba lazima ziwepo busara ni jambo muhimu zaidi kuliko kujidanganya na neno uvumilivu. Ni mawazo yangu tuuu thinking loud coz nilipita hiyo njia. Kuwa nje ya maisha ya wawili nimejifunza mengi!
Kwanza nishukuru kwa wote mliochangia mada tajwa niliyoileta hapa
Hivi Mungu aliweka nini kwenye ubongo wa mwanamke?
Nilirudi nyumbani saa 2 na nusu usiku, baada ya kupumzika sehemu flani ambapo nilipata chochote cha kuujali mwili nisije kupata vidonda vya tumbo kisa njaa wakati hela ninazo.
Nilipofika nyumbani nilikuta wanaandaa chakula na baadhi ya hotpot zimeshaanza kupangwa mezani. Sikuhangaika nazo. Niliingia jikoni nikachukua sufuria ya kuchemshea maji, nikaenda kuiosha. Wote wawili (Wife na house girl) wakaja kila mtu akitaka kunisaidia na kuuliza kama nahitaji maji ya kuoga. Niliwajibu sihitaji. Baada ya hapo nikarudi ndani na sufuria langu. Bahati nzuri jiko la gesi lilikuwa halitumiki. Nikaliwasha ili kupasha maji ya kuoga. Nikachukua simu yangu nikakaa sebuleni nikawa busy tuu na simu huku nikisubiri maji yapate moto ili nikaoge. Sikutaka maongezi na mtu. Maji yalipokuwa tayari nikaenda zangu kuoga.
Baada ya kuoga nikarudi jikoni, nikachukua frying pan nikaenda kuliosha. Niliporudi nikawasha tena jiko la gesi, nikaenda kuchukua mayai kwenye tray, nikakaanga mayai kama manne hivi (mawili nyangenitosha lakini nilijua lazima watoto wangekuja kunizengea). Yalipoiva nikala, nikagawa mengine kwa watoto. Baada ya hapo nikaenda kuosha sufuria nyingine, nikaja nikapika uji wa ulezi. Ulipoiva nikanywa, mwingine nikaweka kwenye chupa. Nilipoona wanajileta leta kunisaidia, niliwapiga stop. Niliwajibu tu waendelee na kazi zao. Baada ya hapo nikaenda kulala. Usiku alihangaika sana kuomba msamaha kama amenikosea. Sikumjibu chochote ila nusura nimpige kwa sababu alikuwa akinisumbua na mimi sikutaka usumbufu.
Alfajiri niliamka saa 11 alfajiri nikawasha jiko la mkaa, nikapasha maji. Binti akaamka, nikamwambia arudi kulala. Ikawa taharuki flani hivi nikaona wamepanic. Maji yalipoanza kuwa vuguvugu nikatoa nguo zangu zote ambazo ni chafu nikaanza kufua. Wife akaja kutaka kuzichukua nikavutana naye, nikamwambia arudi kulala. Nikamwambia sitaongea tena na ukinisumbua ntakuzibua na kofi. Nilifua hadi around saa moja na nusu asubuhi. Nilipomaliza nikarudi room nikakuta amejigaragaza kitandani analia.Nikanyoosha nguo za kuvaa, nikapiga mswaki, baada ya kujiandaa nikaondoka zangu.
Baada ya kuondoka akawa ananipigia, sikupokea, akatuma sms wala sikujibu. Nilipoona ananisumbua nilizima simu siku nzima mpaka niliporudi jioni. Leo ni siku ya pili analia tuu, mimi naendelea kujihudumia. Mchana nilirudi home ghafla nikamkuta amekaa kwa masikitiko anaongea na simu, alafu anaongea kilugha. Bahati nzuri lugha yao naisikia, na nikahisi anangea na dada yake, maana kila akipata tatizo huwa breki ya kwanza kwa ushauri ni kwa dada yake. Baada ya kukata simu akaja kunisihi niwasamehe, nimemjibu kwa kumuuliza, "kwani mmenikosea nini?" Akanijibu kuwa kama mimi najihudumia kila kitu sasa yeye kazi yake nini? Nikamwambia kama huna kazi basi unaweza kwenda likizo uende popote utakapoona panafaa mpaka pale utakapoona una kazi ya kufanya.
Kwa ufupi kwa siku mbili hizi sijala chakula cha mikono yao, wala nguo kuandaliwa na mwingine. Nimeamua kuwapa off, ila hali waliyo nayo ni mbaya kila mtu yuko kona yake, hata chakula hakiliki, ni kulia lia tuu. Pia nimeamua kuweka simu zangu zote pasword kwa makusudi, atakapokosa access ya simu zangu, ataanza kuhisi nina mchepuko, sasa nasubiri hilo litokee, nalisubiri kwa hamu.
Katika maisha yangu naamini kuna njia nyingi za kumuadhibu mtu. Sipendi na sitarajii kumpiga mtu maishani mwangu, labda iwe ni pale inapobidi
Hongera kwa hatua ulizochukua. Inaonesha wewe ni mwanaume matured. Laiti wanaume wote wangekuwa kama wewe!Kwanza nishukuru kwa wote mliochangia mada tajwa niliyoileta hapa
Hivi Mungu aliweka nini kwenye ubongo wa mwanamke?
Nilirudi nyumbani saa 2 na nusu usiku, baada ya kupumzika sehemu flani ambapo nilipata chochote cha kuujali mwili nisije kupata vidonda vya tumbo kisa njaa wakati hela ninazo.
Nilipofika nyumbani nilikuta wanaandaa chakula na baadhi ya hotpot zimeshaanza kupangwa mezani. Sikuhangaika nazo. Niliingia jikoni nikachukua sufuria ya kuchemshea maji, nikaenda kuiosha. Wote wawili (Wife na house girl) wakaja kila mtu akitaka kunisaidia na kuuliza kama nahitaji maji ya kuoga. Niliwajibu sihitaji. Baada ya hapo nikarudi ndani na sufuria langu. Bahati nzuri jiko la gesi lilikuwa halitumiki. Nikaliwasha ili kupasha maji ya kuoga. Nikachukua simu yangu nikakaa sebuleni nikawa busy tuu na simu huku nikisubiri maji yapate moto ili nikaoge. Sikutaka maongezi na mtu. Maji yalipokuwa tayari nikaenda zangu kuoga.
Baada ya kuoga nikarudi jikoni, nikachukua frying pan nikaenda kuliosha. Niliporudi nikawasha tena jiko la gesi, nikaenda kuchukua mayai kwenye tray, nikakaanga mayai kama manne hivi (mawili nyangenitosha lakini nilijua lazima watoto wangekuja kunizengea). Yalipoiva nikala, nikagawa mengine kwa watoto. Baada ya hapo nikaenda kuosha sufuria nyingine, nikaja nikapika uji wa ulezi. Ulipoiva nikanywa, mwingine nikaweka kwenye chupa. Nilipoona wanajileta leta kunisaidia, niliwapiga stop. Niliwajibu tu waendelee na kazi zao. Baada ya hapo nikaenda kulala. Usiku alihangaika sana kuomba msamaha kama amenikosea. Sikumjibu chochote ila nusura nimpige kwa sababu alikuwa akinisumbua na mimi sikutaka usumbufu.
Alfajiri niliamka saa 11 alfajiri nikawasha jiko la mkaa, nikapasha maji. Binti akaamka, nikamwambia arudi kulala. Ikawa taharuki flani hivi nikaona wamepanic. Maji yalipoanza kuwa vuguvugu nikatoa nguo zangu zote ambazo ni chafu nikaanza kufua. Wife akaja kutaka kuzichukua nikavutana naye, nikamwambia arudi kulala. Nikamwambia sitaongea tena na ukinisumbua ntakuzibua na kofi. Nilifua hadi around saa moja na nusu asubuhi. Nilipomaliza nikarudi room nikakuta amejigaragaza kitandani analia.Nikanyoosha nguo za kuvaa, nikapiga mswaki, baada ya kujiandaa nikaondoka zangu.
Baada ya kuondoka akawa ananipigia, sikupokea, akatuma sms wala sikujibu. Nilipoona ananisumbua nilizima simu siku nzima mpaka niliporudi jioni. Leo ni siku ya pili analia tuu, mimi naendelea kujihudumia. Mchana nilirudi home ghafla nikamkuta amekaa kwa masikitiko anaongea na simu, alafu anaongea kilugha. Bahati nzuri lugha yao naisikia, na nikahisi anangea na dada yake, maana kila akipata tatizo huwa breki ya kwanza kwa ushauri ni kwa dada yake. Baada ya kukata simu akaja kunisihi niwasamehe, nimemjibu kwa kumuuliza, "kwani mmenikosea nini?" Akanijibu kuwa kama mimi najihudumia kila kitu sasa yeye kazi yake nini? Nikamwambia kama huna kazi basi unaweza kwenda likizo uende popote utakapoona panafaa mpaka pale utakapoona una kazi ya kufanya.
Kwa ufupi kwa siku mbili hizi sijala chakula cha mikono yao, wala nguo kuandaliwa na mwingine. Nimeamua kuwapa off, ila hali waliyo nayo ni mbaya kila mtu yuko kona yake, hata chakula hakiliki, ni kulia lia tuu. Pia nimeamua kuweka simu zangu zote pasword kwa makusudi, atakapokosa access ya simu zangu, ataanza kuhisi nina mchepuko, sasa nasubiri hilo litokee, nalisubiri kwa hamu.
Katika maisha yangu naamini kuna njia nyingi za kumuadhibu mtu. Sipendi na sitarajii kumpiga mtu maishani mwangu, labda iwe ni pale inapobidi
Yani umenichekesha yani basi tu.kweli mkabisa ni kumpa kiki
ila unakula sana jamani
ulienda sehemu ukala halafu kufika home ukapiga mayai nane na uji???
teh wewew noma
hapana mi naona dada wa kazi pia analo kosa, jamaa alipotoka safari huyo dada wala hakujihangaisha kumhudumia wakati huyo ni boss wake hata kama mshahara wake analipwa na mke ila hao ni wakuu wake wa kazi.good boy sasa hapo umekuwa
yaani piga hata week mbili hivo
ila kumbuka dada wa kazi hana kosa nausimuusishe kwenye ubaya wa nyumbani kwako
hakufanya hivo kwasababu mama alikuwepohapana mi naona dada wa kazi pia analo kosa, jamaa alipotoka safari huyo dada wala hakujihangaisha kumhudumia wakati huyo ni boss wake hata kama mshahara wake analipwa na mke ila hao ni wakuu wake wa kazi.
Hahaaa hata ukivua nguo yeye hakuoni mbona majanga hayo, adhabu mleta mada anayompa mke wake nzuri kuliko kupiga,saikological torture ni mbaya sana.mayai nane unajambiwa tu ***** hugegedwi wala nini
najiangusha makusudi
aahaaNimejifunza kitu.....mi huwa napiga sana wanawake.....
Eeh sasa kuanzia Leo nimeacha kabisaaaaaaaaaahaa