Mrejesho: Hivi Mungu aliweka nini kwenye ubongo wa mwanamke?

Vizuri

Kama anakupenda haswaaa atanyooka na iwe kwa milele, kama hakupendi haswa arajifanya hivyo na kurudia tena kama kawa.
 
Kiranga huku unapretend ila pakufungukia ni kule Intel.,...hapa utakuja ubishani usio na ulazima na kuchafua uzi wa mtu bure.
Ukweli utabaki ukweli popote.

Kama mungu hayupo, anakuwepo kwa sababu hatuko Intel?

Mimi hata siangalii hayo majukwaa, naangalia thread mpya tu.

Kusema ukweli kunachafua tangu lini?

Usiposema ukweli ndipo unakuwa unachafua kwa kuachia uongo.
 
Utupe mrejesho siku utakapoacha iyo adhabu utaanzaje kula, kuongea na kucheka nao, pia kugegeda je utakua unapagawa kwa mautamu au je utaanza kwa romance au utakua ka Undertaker tu sura ya mbuzi!
 
hilo naliitaga kofi la moyo...huwa linarudisha akili za mwanamke zilizokimbia kwa haraka mno
 
Utupe mrejesho siku utakapoacha iyo adhabu utaanzaje kula, kuongea na kucheka nao, pia kugegeda je utakua unapagawa kwa mautamu au je utaanza kwa romance au utakua ka Undertaker tu sura ya mbuzi!
Kweli wewe "KakaJambazi"
 
Huwa nikisoma michango kama huu toka kwa wadada kwenye hizi issue za mahusiano napata matumaini kwamba bado wako wanawake wengi tu ambao wanaotambua wajibu wao ndani ya ndoa.

Mkuu kwa maoni yangu adhabu imetosha sasa lakini ni lazima mkae chini ueleze kilichokukera na kumwambia hiyo kero ndiyo iwe mwanzo na mwisho kutokea.

Well done! Acha wanawake tujifunze tumezidi kha! Hatorudia upuuzi huu tena. Heshima na adabu kwa sana.
 
Umefanya vzr ila muhimu ni kuongea na mkeo mweleze kila kitu ajirekebishe kumbuka Naye ni binadam na kila kitu kina expiredate so kabla mbinu yako haija expire na yeye kulia hakujaexpire ongea nae na umsamehe, Hawa wanawake wakikubadilikia bro, ni hatari.
 
Huwa nikisoma michango kama huu toka kwa wadada kwenye hizi issue za mahusiano napata matumaini kwamba bado wako wanawake wengi tu ambao wanaotambua wajibu wao ndani ya ndoa.

Mkuu kwa maoni yangu adhabu imetosha sasa lakini ni lazima mkae chini ueleze kilichokukera na kumwambia hiyo kero ndiyo iwe mwanzo na mwisho kutokea.
Mkuu ukweli haujifichi! Hii dhana ya kusema wanawake dhaifu wavumilivu etc haipashwi kupewa kipaumbele kwa kila jambo. Ni ukweli usiomezeka kwa walio ndani ya ndoa wakidai wapo kwenye mateso. Tofauti ndani ya nyumba lazima ziwepo busara ni jambo muhimu zaidi kuliko kujidanganya na neno uvumilivu. Ni mawazo yangu tuuu thinking loud coz nilipita hiyo njia. Kuwa nje ya maisha ya wawili nimejifunza mengi!
 
  • Thanks
Reactions: BAK

Similar Discussions

Back
Top Bottom