uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 14,843
- 26,917
kimenuka
Mbona hana hata sweta au jacket, laiti angalijua mahali anaenda lala leo! Mungu amsaidie...
kimenuka
Ni rahisi kuchukua ela ila uwa ni vigumu sana kuhamisha ela ukaitumia kihalali. Mfano uuze dawa za kulevya then uingize ela kwenye mzunguko, au uibe pesa bank bils kadhaa then usepe nazo nje ya nchi. Mafisadi tu viongozi wa serikali ndo uwa wanaweza hilo kirahisi.Sasa b17 unabakiaje bongo tena?
Serikali sio Mungu kwamba wajue kila kitu kwa wakati muafaka. Wanahitaji mpaka wapate taarifa aidha toka kwa walioathirika na kosa husika, au wapate taarifa za kiintelijensia toka kwa vyanzo vyao n.k. Na wakipata taarifa wanahitaji kujiridhisha pasi na shaka kuwa kweli kuna kosa limefanyika. Hapo ndipo uchunguzi/ upelelezi unapoingia. Kwahiyo kama taarifa hazijawafikia there is no way wanaweza kuchukua hatua yoyote.Kama hakuwa na leseni tangu ameanza kufanya walikuwa wapi kwenda kumkamata hadi inafika miaka 3 ndio wanaenda kumkamata leo,walikuwa hawaoni kama anafanya makosa?
Handsome anavutia, kakunja nne mweyewe hana wasiwasiOnly 29 years old kijana kakusanya 17B.
Ni ujasiri ulioje.
Big up.
Mfanyabiashara, Tariq Machibya (29) maarufu kama Mr. Kuku, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka saba likiwemo la kufanya biashara ya haramu ya upatu kwa kukusanya fedha za Umma zaidi ya Tsh. 17 bilioni.
Machibya ambaye ni mkazi wa Oysterbay amesomewa mashtaka yake leo 10/08/2020 na Wakili wa Serikali muandamizi mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo Godfrey Isaya. Akisomewa mashitaka yake, mshtakiwa anakabiliwa na kesi ya Uhujumu Uchumi na 60/2020, kati ya mashitaka hayo 7 yapo ya kusimamia na kuendesha biashara haramu ya upatu, kupokea maingizo ya fedha za umma bila ya kuwa na leseni na kutakatisha fedha.
Mfahamu zaidi Mr. Kuku:
Mr. Kuku Farm ni aina mpya ya DESI?
Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku
Hata wafungue ya madai hawatapata kitu,wale wa Deci walianza kufuatilia mpunga wao wakashangaa tu wamewekwa ndani walivyotoka mpk leo hawaulizii tena mbegu zao walizopanda.Hahaha watanzania wanapenda sana hizi, waweke pesa mahala wao wakalale wakingoja faida.
Hakuna mtu wa kukufanyia kazi ukiwa umelala nyumbani, ona sasa pesa inaenda kutaifishwa na serikali na hamtalipwa, labda mfungue kesi ya madai.
Wabongo wengi wanapenda slopeWajinga ndio waliwao,mimi siamini biashara za upatu hela yangu ntaimaliza mwenyewe
Gemstone yenyewe Sahv haiko hivyoHuo ni upatu tu,ingekua anawekeza angekua na mtaji mara 2 ya hizo pesa,na angewapa watu faida zao....biashara gani uweke 5m upate 5m,imekua gemstone hiyo
Hata wakina Rugemalira na yule Mhindi mwanzoni walikua wanakunja 4 pale mahakamani ila kilichofuata sasa...Handsome anavutia, kakunja nne mweyewe hana wasiwasi
Wajinga, wapmbv hawaishi wanazaliwa kila leoAshakum si matusi. Tuwiane radhi, kawadhulumu wenye akili za kikuku.
Baada ya DECI, D9 na upumba.vu mwingi wa aina hiyo, watu bado hawakushituka ??
Kesho mwingine atakuja kwa staili nyingine na Ponzi scheme mpya na watu wataingia mkenge.
Hakuna hela ya short cut. Labda uibe, udhulumu nk.
Kwanza kwa nchi takataka kama Tanzania, kabda awe kaonewa.Handsome anavutia, kakunja nne mweyewe hana wasiwasi
mkuu kwani kiasi alichonacho huyu na kiasi alichonacho RUGEMALILA na SETH ni nani anakiasi kikubwa?Kwanza kwa nchi takataka kama Tanzania, kabda awe kaonewa.
Kama kweli ana kiasi hicho cha pesa hawezi kufungwa.