tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
Wajinga ndio waliwao,mimi siamini biashara za upatu hela yangu ntaimaliza mwenyeweWale wazee wa asilimia baada ya miezi sita akiwemo jamaa yangu ni kilio tu! Mtonyo umesepa
Wajinga ndio waliwao,mimi siamini biashara za upatu hela yangu ntaimaliza mwenyeweWale wazee wa asilimia baada ya miezi sita akiwemo jamaa yangu ni kilio tu! Mtonyo umesepa
Ukiitiwa fursa wewe ndio fursa yenyewe (Source: Anonymous).nimecheka kinoma
Mkuu wangu asante mjini ni akili.Bro si unaona hapo alikuwa ametuliaKwa mujibu wake mwenyewe, April mwaka huu alisema biashara yake ina thamani ya approximately over Bilioni Moja. Kwa kutumia common sense - Hiyo Bilioni 17 ni mahesabu ya kisheria ya pesa zote zilizopita mikononi mwake tangu mwaka 2017. Huenda pesa aliyonayo benki kwa sasa haifiki Bilioni 1!!!
View attachment 1533322
Chuga hakuna atakae fungua,wote walmechukuliwa mitaji yao wengine billions,nani wa kufanya hiyo biasharaLabda utawala mwengine sio huu! Ukae ukijua kampeni ni mwezi wa 10 hapo, 3 months ahead! Na nimesikia tetesi bureau de change zinafunguliwa.
Are you sure ana licences zote? Kwasababu taarifa zinasema kosa mojawapo ni kukusanya pesa za umma bila kuwa na leseni. Anaweza kuwa ana leseni ya ufugaji wa kuku lakini hana leseni ya kukusanya pesa za umma!!Huo ndio mchezo uliopo hapo.
Jiulize wakati anaanza kufanya serikali ilikuwa wapi?Na cha ajabu jamaa alikuwa na licences zote alizipataje?
Hapo serikali walimvizia tu azikusanye ili waende kuzichukua waingize kwenye miradi yao
...😂😂😂...Duh, hii ndio bongo! Hatimae jibu limepatikana, kwa mnaokumbuka nilileta bandiko kuulizia uhalali wa ile biashara. Michango ilikuwa ya kutosha but all-in-all bwana alitoa na bwana ametwaa!!!
Ila jamaa kacheza kizembe Sana. Staki kuamini Kama alikuwa hajui sheria za nchi za kukusanya mitaji kutoka kwa public.Huu msemo nauelewa sana toka nimeanza kuuona humu JF!
Oysterbay kapanga apartment mkuu.Kumbe chalii mdogo tu, 29yrs bilioni 17 mamamae acha tu aishi Oysterbay!
Wajinga ndio waliwao,mimi siamini biashara za upatu hela yangu ntaimaliza mwenyewe
Hana? Humuon anavyotikisa mguu? Huyu nadhani hajawahi kukaa hata selo ndo maana anajiamini hivyoHiyo inaitwa ponzi scheme, ukijipanga bizuri lazima uwashike watu sema mwisho lazima ilipuke halafu, unakuta yeye hapo alipo hata b1 moja kwenye account hana.
Huo ni upatu tu,ingekua anawekeza angekua na mtaji mara 2 ya hizo pesa,na angewapa watu faida zao....biashara gani uweke 5m upate 5m,imekua gemstone hiyoKwani ilikuwa Ni upatu??
Nikivyoielewa ilikuwa Ni uwekezaji wa pamoja, kwamba anakusanya mtaji, anafuga kuku Kisha anauza na kurudisha faida au niliielewa vibaya??
Anajiitaje insta?Jamaa nilishangaa anauza 2018 Jaguar F-Pace kwa 250M! Nikajiuliza kulikoni. Kumbe mambo yalishaiva
Oysterbay kapanga apartment mkuu.
Hiki ki saccos cha ofisini kwetu, kimenipa mashaka, nichomoe vimilioni vyangu nini mkuu?Basi ndio hivyo yani, jina la bwana lihimidiwe
Are you sure ana licences zote? Kwasababu taarifa zinasema kosa mojawapo ni kukusanya pesa za umma bila kuwa na leseni. Anaweza kuwa ana leseni ya ufugaji wa kuku lakini hana leseni ya kukusanya pesa za umma!!
Watanzania wengi wajinga, acha wapigwe tu. Hivi mtu pamoja na watu kulizwa bado wanajipeleka kwenye mchezo wa kitapeli.Duh, hii ndio bongo! Hatimae jibu limepatikana, kwa mnaokumbuka nilileta bandiko kuulizia uhalali wa ile biashara. Michango ilikuwa ya kutosha but all-in-all bwana alitoa na bwana ametwaa!!!
Ndo asirudie kupenda kitonga, atakua kajifunza sasaMwanangu kanipigia simu mda si mrefu. Nilimrushia hio clip! Ameshusha pumzi ya nguvu maana aliweka 3.5M...Nilichomjibu ni kuwa hio hela itafanyia shughuli za kizalendo kujengea barabara na mashule so asiwe na wasiwasi! Iko katika mikono salama.
Amejifariji kwa kusema in business kuna ku win na kujifunza.
😂 😂 😂 😂Iko katika mikono salama.