Mbu
Kuna wengine usikute wanachangia kwa vile wanatajiriba husika.
Katika hiyo nyekundu, mtu akibakwa na ikithibitika aliembaka ana HIV, kuna tiba inaitwa Post Exposure Prophylaxis (PEP) inatolewa karibu na health centres zote... It has to be administered with 78 hrs tokea hilo tukio litendeke. Hivyo one should also think of that ili tusifikie kutengana vyumba baadae.
Kwa mfano, mtu amebakwa alikuwa ameenda kwenye semina na warsha huko na akapewa kinywaji na kuchukuliwa; huyo anaweza kweli kusema alibakwa au anaweza kujikuta anahalalisha na hivyo hasemi lolote?
Kwa mfano, mtu amebakwa alikuwa ameenda kwenye semina na warsha huko na akapewa kinywaji na kuchukuliwa; huyo anaweza kweli kusema alibakwa au anaweza kujikuta anahalalisha na hivyo hasemi lolote?
Kwa mfano, mtu amebakwa alikuwa ameenda kwenye semina na warsha huko na akapewa kinywaji na kuchukuliwa; huyo anaweza kweli kusema alibakwa au anaweza kujikuta anahalalisha na hivyo hasemi lolote?
Ndio maana nimesema kuna mazingira hatarishi ambayo wanawake tunajiingiza wenyewe either kwa kujua au bila kujua. Mwanaume ambaye si ndugu yako hupaswi kuwa naye faragha iwe kwenye warsha au mko college.
Kwa mfano, mtu amebakwa alikuwa ameenda kwenye semina na warsha huko na akapewa kinywaji na kuchukuliwa; huyo anaweza kweli kusema alibakwa au anaweza kujikuta anahalalisha na hivyo hasemi lolote?