Mpendazoe aanika walioanzisha CCJ

Nataka kuiwauliza wanajamii juu ya huyu mpendazoe! Alikuwa mbunge wa ccm, akahama na kuanzisha ccj, akahama na kukimbilia chadema mnadhani ni mtu safi huyu wana cdm? Kama alikuwa msiri wakati anahama ccm na kuanzisha chadema,akawafichia siri wenzake ,wakampa mapesa aanzishe vurugu ndani ya ccm je mnazani hawezi kufanya hayo hayo akiwa ndani ya chadem?

Waanzilishi wenzake ni kina nani?
 
Nataka kuiwauliza wanajamii juu ya huyu mpendazoe! Alikuwa mbunge wa ccm, akahama na kuanzisha ccj, akahama na kukimbilia chadema mnadhani ni mtu safi huyu wana cdm? Kama alikuwa msiri wakati anahama ccm na kuanzisha chadema,akawafichia siri wenzake ,wakampa mapesa aanzishe vurugu ndani ya ccm je mnazani hawezi kufanya hayo hayo akiwa ndani ya chadem?

CCM hamna Jipya, Nape ndo mwanzilishi wa CCJ
 
ndio maana mimi huyu waziri wa east afrca kuna wakati huwa namwangalia kwa jicho la ndege
 
RIP na Upupu wako,unapotaka kumumng'oa adui huwezi weka mambo bayana na hata sababu ya kutosajiliwa CCJ ilikuwa ni zengwe na worry ya CCM dhidi ya CCJ na Mpendazoe anasema lengo ilikuwa waje waungane na CDM ilikuing'oa CCM sasa unaposema alikuwa msiri na hata akiona CDM kama mambo hayaendi sawa anaweza kuanzisha movement za mabadiliok kupitia chama kingine amabcho ki-mtazamo wake kitakuwa na malengo sawa na anavyoamini na hii ni kwa mtu yeyote makini sio Mpendazoe tu!

kama lengo lilikuwa kuja kuungana na chadema ili waing'oe ccm kwanini wasingetoka moja kwa moja kwenda kuongezea nguvu cdm ili waitoe iyo ccm?
 
kama lengo lilikuwa kuja kuungana na chadema ili waing'oe ccm kwanini wasingetoka moja kwa moja kwenda kuongezea nguvu cdm ili waitoe iyo ccm?

Holy crap!

Simple logic, hukutakiwa kuuliza hilo swali jibu unalo.....next time save your little brain for future use.
 
CCM hamna Jipya, Nape ndo mwanzilishi wa CCJ

Huyu Mpendazoe mwisho wa siku atawaacha CDM njia panda, hana msimamo. CDM nao mnapa jukwaa kwa kutangaza SIX, Mwakiyembe na Nape kama waanzilishi wa chama mfu CCJ lakini anashindwa kutuambia CDM ikiingia madarakani itafanya jambo gani jipya kwa watz. CDM inaelekea kubaya na harakati zenu za maandamano endelevu na siasa majitaka:dance:

 
Mheshimiwa Raisi wetu JK SASA ndio muda muafaka wa kuondoa magamba yote yaliokifikisha chama chetu hapo kilipo , KAMBI ZOTE MBILI ZINAZOKIVURUGA CHAMA wanastahili kutimuliwa kwa kulea makundi kama ifuatavyo:

Lowasa na kundi lake ,Sitta na kundi lake naamini CDM watakuwa wamekosa cha kuongea kwenye hayo maandamano yao yasiyokuwa na kichwa wala miguu
 
Huyu Mpendazoe mwisho wa siku atawaacha CDM njia panda, hana msimamo. CDM nao mnapa jukwaa kwa kutangaza SIX, Mwakiyembe na Nape kama waanzilishi wa chama mfu CCJ lakini anashindwa kutuambia CDM ikiingia madarakani itafanya jambo gani jipya kwa watz. CDM inaelekea kubaya na harakati zenu za maandamano endelevu na siasa majitaka:dance:


Tutaandamana hadi kieleweke!
 
Nataka kuiwauliza wanajamii juu ya huyu Mpendazoe, alikuwa mbunge wa CCM, akahama na kuanzisha CCJ, akahama na kukimbilia CHADEMA mnadhani ni mtu safi huyu wana CDM?

Kama alikuwa msiri wakati anahama CCM na kuanzisha CHADEMA ,akawafichia siri wenzake , wakampa mapesa aanzishe vurugu ndani ya CCM, je mnazani hawezi kufanya hayo hayo akiwa ndani ya CHADEMA?
Wewe Ulitaka ARUDI CCM baada ya CCJ Kuhujumiwa Usajili?
 
Watanznaia tunapenda sana siasa kuliko chochote kile, sababu tuanpenda kuzungumza sana na uvivu, maendeleo ya nchi yanaanzia kwa mwananchi mwenyewe, ujitume na uache uvivu, msitegemee kila kitu kitaletwa na serikali ili hali hamtaki kujishughulisha, hata ukienda bank kama NMB ambayo ndiyo tunasema kunivijimikopo vidogo ili upate kilo moja ya sukari, wengi ni kina mama wakina baba soga na ukizipata lazima mtaa wakukome na kumbatia kila mwanamke. Tufanye kazi siasa tumezichoka , hata hao wazungu huku naona wanafanya kazi sana na siasa inawakati wake.hata hao waliossoma walioTRA au TPa ua sehemu zenye malipo makubwa bado mafisadi na wezi wakubwa wa kodi za wannchi na niwapenzi hata wa hiyo Chadema au CCM

  • :mod:
 
SITTA AJIBU

Waziri Sitta alipoulizwa kuhusu madai ya Mpendazoe alisema: “ …waanzilishi wa CCJ wapo kwa msajili.”
Nimelipenda sana jibu hili.. Tuache tuhuma mwenye uthibitisho kutoka kwa msajili wa vyama alete hapa hizo data... Haya maswala ya kutajana majukwaani yashapitwa na wakati!..
 
Ni shujaa,hii inaonesha ni jinsi gani anaichukia ccm (chama cha magamba)
 
JK mungu anampenda sana kwani moja ya makundi yaliyokifikisha ccm hapa ilipo ni kundi la Sitta na Lowassa . Ni wakati muafaka sasa kuyafutilia mbali haya makundi kwani kila kundi ni hatari kwa uhai wa Chama. Naamini CDM WATAKOSA cha kuongea kwenye haya maamdamano yasiyokuwa na kichwa wala miguu
 
Ni shujaa,hii inaonesha ni jinsi gani anaichukia ccm (chama cha magamba)
Nataka kuiwauliza wanajamii juu ya huyu Mpendazoe, alikuwa mbunge wa CCM, akahama na kuanzisha CCJ, akahama na kukimbilia CHADEMA mnadhani ni mtu safi huyu wana CDM?

Kama alikuwa msiri wakati anahama CCM na kuanzisha CHADEMA ,akawafichia siri wenzake , wakampa mapesa aanzishe vurugu ndani ya CCM, je mnazani hawezi kufanya hayo hayo akiwa ndani ya CHADEMA?

Wewe Ulitaka ARUDI CCM baada ya CCJ Kuhujumiwa Usajili?

Dk. Mwakyembe alisema tatizo la Mpendazoe ni kwamba ana papara wakati siasa hazitaki hivyo na wala siasa sio mdundiko ambao kila anayeusikia husindikiza kwa macho na kwa miguu.

"Sisi tumeamua kubaki ndani ya chama tawala kuendesha mapambano dhidi ya ufisadi. Tutaendelea na mapambano tukiwa humu ndani na tunafanikiwa sana," alisema Dk. Mwakyembe.
 
mwanasiasa kutokuwa na msimamo ni tatizo. leo hapa kesho kule, at the end of the day who can trust you? in this case Mpendazoe is ha hero, ameonyesha kwamba yeye yupo against CCM from the day he decided to quit and he will remain.
 
Baada ya Kada mwandamizi wa CDM Fred Mpendazoea kuanika siri za vigogo wa CCM Zinazowahusisha na mipango ya kuwahi kukigeuka chama chao na kuanzisiha ccj, jana Fred Mpendazoea aliwataja wahariri na waandishi wa habari ambao walikuwa ni waasisi wakuu wa CCJ,waandishi waliotajwa na Mpendazoea na vyombo vya habari wanavyotoka ni Ramadhani Semtawa(Mwananchi) ,Muhingo Rweymamu(Habari Corporation), Mayage S Mayage (Habari Corporation) .
Amesisitiza kuwa ndio walikuwa waasisi wakuu wa CCJ


Hapo kwenye Red ndipo nadhani picha mpya inakoelekea? Nina wasiwasi na hao wawili wa Habari Corp maana wanajifanya CCM sana ama walikuwa wanakula huku na huku, hilo pia nadhani linawezekana. Nisaidieni wakuu kupata ukweli maana hili picha la Mpendazoe linatanuka sana sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom