Nataka kuiwauliza wanajamii juu ya huyu mpendazoe! Alikuwa mbunge wa ccm, akahama na kuanzisha ccj, akahama na kukimbilia chadema mnadhani ni mtu safi huyu wana cdm? Kama alikuwa msiri wakati anahama ccm na kuanzisha chadema,akawafichia siri wenzake ,wakampa mapesa aanzishe vurugu ndani ya ccm je mnazani hawezi kufanya hayo hayo akiwa ndani ya chadem?
Waanzilishi wenzake ni kina nani?