Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Ha ha haaa katibu mwenezi wa CCJ Nape ha haa haaaaAisee sikujua kama Mpendazoe sio mtu makini kwa kiwango hiki, uchungu mwingi moyoni uliotokana na kuruka melini mapema na kisha kupotezwa na mawimbi umempunguzia busara na ufahamu.
Pole sana mpendazoe, ni ajabu sana kwa Chadema kuanza kuwataja wasaliti wa wapinzania wao CCM,eti ili CCM iwajue wale wanaowasaliti ndani yao...inatia shaka sana hii , sasa nauona kwa mbali ule ushirika usio mtakatifu kati ya mapacha watatu na chadema kama ulivyotangazwa na Nape.
Hii sio news kwa CCM, wanachotakiwa kufanya akina Sitta ni kutojibu in detail kuhusu CCJ bali kuutangazia tu umma kwa urefu kuhusu ushirika wa Chadema na Mafisadi katika kufanya lolote litakalowanusuru Mafisadi, na kisha kwinshee..