Mavella
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 459
- 75
umezipata duka gani hapa bongo?Nimeona hizi receiver zinaitwa HUMAX IR 2000HA na nyingine ni WIZ 8020 HD PVR
Je nzuri kati ya hizi mbili ni ipi? zoteni bei moja 280,000/=
umezipata duka gani hapa bongo?Nimeona hizi receiver zinaitwa HUMAX IR 2000HA na nyingine ni WIZ 8020 HD PVR
Je nzuri kati ya hizi mbili ni ipi? zoteni bei moja 280,000/=
kama chnl zingine zinaonyesha kijibao kimekaa vzr, labda badili V kuwa H au zungusha lnb yako.
humax ir 2000 hd hi kali nikipata nafac ntakushushia kila ki2 chake hapa.
Duh yameshakuwa matakataka??? hata hivyo asante kwa kutujuza!Hayo matakataka yanapatikana pale makutano ya livingston na udowe kwa LEVI au mtaa wa nyuma yake uliza kwa musa utapata kila kitu hdmi .mpeg4. Openbox.dongle.na dekoda za abuzabitv fikeni pale
Wapi ziko? maana mahali niliona zimekwisha na walikuwa wanasema 250,000 ama kweli mjini tembea uone!hiyo wiz 8020 HD bei yake ni sh 150,000
Hayo matakataka yanapatikana pale makutano ya livingston na udowe kwa LEVI au mtaa wa nyuma yake uliza kwa musa utapata kila kitu hdmi .mpeg4. Openbox.dongle.na dekoda za abuzabitv fikeni pale
Reciever ya Abudhabi inauzwaje?
nasikia naweza kuona ligi ya UK kupitia hawa waarabu.. ni kweli!? na mi pia nataka kujua bei zao
wandugu nitoeni tongotongo,je hizi decorder mnazozungumza hapo juu,kuinstall natakiwa niwe na vitu gani???tavipata vipi??msaada tafadhari,yaani mimi ni begginer
Sio decoder hizi ni digital receiver kwa ajili ya dish. Kama una dish hii kitu ni murua sana.
ipi tofauti ya decoder na receiver.Sio decoder hizi ni digital receiver kwa ajili ya dish. Kama una dish hii kitu ni murua sana.
ipi tofauti ya decoder na receiver.
zinauzwa 375 decoder + 1yr subscription unaweza kuwacliana nao kwa email address hii info@jsc-cards.com tembelea website yao wanafanya promo za jsc smartcards
ipi tofauti ya decoder na receiver.
decoder inakua nje. Pale juu ya dish. Receiver ni ile ya ndani unayo locate remote. Kama deck flan