Wingu
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,318
- 401
Hawa ndo kama mawaziri wa CCM hajui kitu lakini anatoa ufafanuzi.Tangu lini decoder ikakaa nje eti pale juu ya dish.Kadanganye facebook sio hapa.
decoder inakua nje. Pale juu ya dish. Receiver ni ile ya ndani unayo locate remote. Kama deck flan