PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Mental Disoder case!It is high time the chaggas (owners) took reigns of power in CDM!
View attachment 49883
Mental Disoder case!It is high time the chaggas (owners) took reigns of power in CDM!
Huo sio mpasuko. Ndio demokrasia. Ila they need to reach a common amicable agreement. Kwamba kusiwepo tofauti ya maoni, hiyo sio sahihi. CDM ni makini hawatafarakana kwa hilo dogo tu.
Wafuasi ndio wanaleta mvutano kila kambi ikitaka mtu wao ili chama kikishika dola matunda yanakuwa matamu. Wala sishangai nilitegemea sana mgongano huu kutokea.
Haya ni majungu online
Nafikiri ujumbe uliotaka tuupate ni kwamba uko Uingereza na ulionana na Kitila full stop.
Hacha kumrisha maneno Dr Kitila Nkumbo wewe, Dr Kitila ni mtu makini sana hawezi kudhungumza upuuzi huu. shame
Hacha kumrisha maneno Dr Kitila Nkumbo wewe, Dr Kitila ni mtu makini sana hawezi kudhungumza upuuzi huu. shame
wanao watu wengi wazuri wanaoweza kuipeleka chadema magogoni, si lazima awe dr na mbowe.
mpasuko ni ule wa Hamad rashid na Maalim seifKama hakuna mpasuko then what do they need to agree each other?
habari yako malaria sugu? Naona umekuja na id nyingine ila uchangiaji ni uleule.Mbowe kaachiwa chadema na mkwe wake Edwin Mtei pengine anataka kurudisha chama kwenye familia yao?
jf hatujadili uzushi na umbeaHii hoja sio ya kuitazama kijuu juu, kuna masuala mengi ya kujadili na kuyatafakari hasa linapokuja sualaà la wakati na mazingira