Mpasuko CHADEMA, Nini kifanyike?

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
Mshauri mkuu wa chadema ndugu, Kitila Mkumbo alitembelea Uingereza katika miji ya London na Readings kuanzia tarehe 5 Machi na 6 Machi 2012 na kuondoka tarehe 10 Machi, 2012.


Miongoni mwa mambo aliyotueleza ni kuwepo kwa mpasuko wa nani anasitahiri kubeba/kupeperusha bendera ya chadema katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kati ya Freeman Mbowe na Dk. Slaa. Mkumbo anasema kuna kambi mbili zinazopingana ndani ya chadema kuhusu suala hilo.

Wanaomuunga mkono Dk. Slaa wanasema kwamba ni mtu anayejua kujenga hoja, ana mvuto, wananchi wanamwamini kuliko Mbowe lakini pia kwamba Dk. Slaa alishinda uchaguzi mkuu wa 2010 kabla ya kuchakachuliwa. Kwa sababu hiyo akipewa nafasi tena 2015 na chadema ikisimamia vyema uchaguzi huo Dk. Slaa anaweza kuwa Rais ajaye.



Kambi ya mbowe inasema kwamba alitumia asilimia 72 ya pesa yake katika kufanikisha kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010, wapo wanaodai chama kirudi mikononi mwa Mbowe kwa sababu hivi sasa ameimarika zaidi kwa ajili ya kugombea Urais katika uchaguzi mkuu ujao. My take: Kuendeleza huo mpasuko kutaisaidia ushindi wa CCM katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.


Wadau nimeleta kwenu tusaidiane namna ya kutafuta ufumbuzi wa mpasuko wa kambi mbili hizi ili chadema kiendelee kuwa chama kikuu cha upinzani na pengine kushika dola mwaka 2015. Source: Nilikuwa Uingereza miongoni mwa wafuasi wa chadema tuliohudhuria kikao cha kamanda wetu Kitila.
 
Tiba .......kama hawataelewana chadema inaweza kuwajenga vijana wapya kama John Mnyika na Zitto Kabwe kabla ya mwaka 2015.

Tamaa ya nani atakiwa kukibeba chama kwenda ikulu imeua vyama vingi sana
 
Mshauri mkuu wa chadema ndugu, Kitila Mkumbo alitembelea Uingereza katika miji ya London na Readings kuanzia tarehe 5 Machi na 6 Machi 2012 na kuondoka tarehe 10 Machi, 2012.


Miongoni mwa mambo aliyotueleza ni kuwepo kwa mpasuko wa nani anasitahiri kubeba/kupeperusha bendera ya chadema katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kati ya Freeman Mbowe na Dk. Slaa. Mkumbo anasema kuna kambi mbili zinazopingana ndani ya chadema kuhusu suala hilo.

Wanaomuunga mkono Dk. Slaa wanasema kwamba ni mtu anayejua kujenga hoja, ana mvuto, wananchi wanamwamini kuliko Mbowe lakini pia kwamba Dk. Slaa alishinda uchaguzi mkuu wa 2010 kabla ya kuchakachuliwa. Kwa sababu hiyo akipewa nafasi tena 2015 na chadema ikisimamia vyema uchaguzi huo Dk. Slaa anaweza kuwa Rais ajaye.



Kambi ya mbowe inasema kwamba alitumia asilimia 72 ya pesa yake katika kufanikisha kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010, wapo wanaodai chama kirudi mikononi mwa Mbowe kwa sababu hivi sasa ameimarika zaidi kwa ajili ya kugombea Urais katika uchaguzi mkuu ujao. My take: Kuendeleza huo mpasuko kutaisaidia ushindi wa CCM katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.


Wadau nimeleta kwenu tusaidiane namna ya kutafuta ufumbuzi wa mpasuko wa kambi mbili hizi ili chadema kiendelee kuwa chama kikuu cha upinzani na pengine kushika dola mwaka 2015. Source: Nilikuwa Uingereza miongoni mwa wafuasi wa chadema tuliohudhuria kikao cha kamanda wetu Kitila.

SLAA anajisumbua. Kazi yake kuu ilikuwa ni kukijengea chama umaarufu na kwa sababu hiyo atalazimika kukaa pembeni wenye chama washike hatamu. Mkuu au umesahau kazi ya ul ***********? ukishamaliza kazi sharti utupwe.
 
Wafuasi ndio wanaleta mvutano kila kambi ikitaka mtu wao ili chama kikishika dola matunda yanakuwa matamu. Wala sishangai nilitegemea sana mgongano huu kutokea.
 
Gamba mkubwa wewe,nani kakuambia kuna vita Chadema,Chadema tunautaratibu wake wa kumpata mgombea.
 
Mshauri mkuu wa chadema ndugu, Kitila Mkumbo alitembelea Uingereza katika miji ya London na Readings kuanzia tarehe 5 Machi na 6 Machi 2012 na kuondoka tarehe 10 Machi, 2012.


Miongoni mwa mambo aliyotueleza ni kuwepo kwa mpasuko wa nani anasitahiri kubeba/kupeperusha bendera ya chadema katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kati ya Freeman Mbowe na Dk. Slaa. Mkumbo anasema kuna kambi mbili zinazopingana ndani ya chadema kuhusu suala hilo.

Wanaomuunga mkono Dk. Slaa wanasema kwamba ni mtu anayejua kujenga hoja, ana mvuto, wananchi wanamwamini kuliko Mbowe lakini pia kwamba Dk. Slaa alishinda uchaguzi mkuu wa 2010 kabla ya kuchakachuliwa. Kwa sababu hiyo akipewa nafasi tena 2015 na chadema ikisimamia vyema uchaguzi huo Dk. Slaa anaweza kuwa Rais ajaye.



Kambi ya mbowe inasema kwamba alitumia asilimia 72 ya pesa yake katika kufanikisha kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010, wapo wanaodai chama kirudi mikononi mwa Mbowe kwa sababu hivi sasa ameimarika zaidi kwa ajili ya kugombea Urais katika uchaguzi mkuu ujao. My take: Kuendeleza huo mpasuko kutaisaidia ushindi wa CCM katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.


Wadau nimeleta kwenu tusaidiane namna ya kutafuta ufumbuzi wa mpasuko wa kambi mbili hizi ili chadema kiendelee kuwa chama kikuu cha upinzani na pengine kushika dola mwaka 2015. Source: Nilikuwa Uingereza miongoni mwa wafuasi wa chadema tuliohudhuria kikao cha kamanda wetu Kitila.

Kwa taarifa yako mpasuko umeanzia mwanza , Wenje kamshikia mtu pisto Mbele ya Katibu wenu Mkuu huyo. Sasa sijui nani atasuluhisha wakati Wenje yuko upande wa Mbowe na ndiyo maana alimdharau SLAA na kuamua kutoa pisto.
 
Tuko bize na arumeru na nasari wetu,2015 haipingiki slaa ndio tumaini letu sio lowasa,6,membe wala lipumba.mtajambaaa
Kwa jinsi ninavyofahamu uadilifu wa Kitila, nitashangaa sana kama aliweza kuwaeleza ninyi hizo siri za ndani za chama. Na kama amefanya hivyo basi inawezekana aliwaamini watu wasio waaminifu, wasio na kifua cha kutunza mambo, ambao mwisho wa siku wameamua kuweka habari hizo mtandaoni kama hivi. Ni aibu sana kujua kwamba habari za chama zimevuja kupitia kwa mtu fulani ambaye anaheshima kubwa ndani ya chama. Tutayaongea haya kwenye vikao vyetu.
 
Wanao watu wengi wazuri wanaoweza kuipeleka CHADEMA magogoni, si lazima awe DR na Mbowe.
 
Mshauri mkuu wa chadema ndugu, Kitila Mkumbo alitembelea Uingereza katika miji ya London na Readings kuanzia tarehe 5 Machi na 6 Machi 2012 na kuondoka tarehe 10 Machi, 2012.


Miongoni mwa mambo aliyotueleza ni kuwepo kwa mpasuko wa nani anasitahiri kubeba/kupeperusha bendera ya chadema katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kati ya Freeman Mbowe na Dk. Slaa. Mkumbo anasema kuna kambi mbili zinazopingana ndani ya chadema kuhusu suala hilo.

Wanaomuunga mkono Dk. Slaa wanasema kwamba ni mtu anayejua kujenga hoja, ana mvuto, wananchi wanamwamini kuliko Mbowe lakini pia kwamba Dk. Slaa alishinda uchaguzi mkuu wa 2010 kabla ya kuchakachuliwa. Kwa sababu hiyo akipewa nafasi tena 2015 na chadema ikisimamia vyema uchaguzi huo Dk. Slaa anaweza kuwa Rais ajaye.



Kambi ya mbowe inasema kwamba alitumia asilimia 72 ya pesa yake katika kufanikisha kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010, wapo wanaodai chama kirudi mikononi mwa Mbowe kwa sababu hivi sasa ameimarika zaidi kwa ajili ya kugombea Urais katika uchaguzi mkuu ujao. My take: Kuendeleza huo mpasuko kutaisaidia ushindi wa CCM katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.


Wadau nimeleta kwenu tusaidiane namna ya kutafuta ufumbuzi wa mpasuko wa kambi mbili hizi ili chadema kiendelee kuwa chama kikuu cha upinzani na pengine kushika dola mwaka 2015. Source: Nilikuwa Uingereza miongoni mwa wafuasi wa chadema tuliohudhuria kikao cha kamanda wetu Kitila.

Huo sio mpasuko. Ndio demokrasia. Ila they need to reach a common amicable agreement. Kwamba kusiwepo tofauti ya maoni, hiyo sio sahihi. CDM ni makini hawatafarakana kwa hilo dogo tu.
 
si Mbowe wala Slaa anayefaa kuwa Rais wa Nchi hii labda kwa upinzani mngemsimamisha Lipumba huyu ana sifa za kuwa Rais.
 
Kwa taarifa yako mpasuko umeanzia mwanza , Wenje kamshikia mtu pisto Mbele ya Katibu wenu Mkuu huyo. Sasa sijui nani atasuluhisha wakati Wenje yuko upande wa Mbowe na ndiyo maana alimdharau SLAA na kuamua kutoa pisto.
Nimekubali Information is power!
Usipojua kitu unaongea utumbo tu!
Unatakiwa uulize ilikuwaje ndipo uje hapa kuandika "mangure" yako hapa!
 
Mpasuko katika vyama vya siasa hasa vya upinzani mwisho wake huwa ni kufukuzana na baada ya hapo ni vyama hivyo kupoteza umaarufu wa kisiasa na kubaki majina tu....ngoja tuona mwisho wa hili.
 
Nadhani heshima ya Kamanda Mbowe haijashuka kwa yeye kumpisha Slaa.Kwanza ameweza kupata heshima zaidi kwa kuonyesha nia yake ya dhati ya kukijenga chama.

Hoja ulizozileta hapa jamvini ni majungu
 
Back
Top Bottom