Mpasuko CHADEMA, Nini kifanyike?

Ni vyema slaa akamwachia mbowe kwani mbowe ameonyesha uwezo mkubwa ktk kipindi hiki kifupi akiwa kiongozi wa upinzani
 
Wana JF..
CCM katika mambo yaliokuwa yanawaumiza kichwa ni jinsi ya kuweza kuweza kuutumia mitandao kwa ajili ya kuendeshea propoganda zao na vile vile kutengeneza majungu katika vyama tishio vya upinzani. Na walikuwa wanasumbuliwa sana na mitandao na haswa huu wa Jamii Forums.. ambao wao waliuchukulia kama ni mtandao wa upinzani dhidi ya CCM..! Kwa hiyo wametengeneza mkakati ambao sasa mnauona humu mtandaoni.. Wanatengeneza habari za uchonganishi na kuzi-post kwa JF.. Halafu Nao wanachangia kutoa comments wakijifanya wengine kama innocent members humu na wanashangaa.. Hii yote ni part of their plans kuleta chaos/topsy-turvydom ndani ya CDM.. Wameishiwa sera.. Hawana cha kuwaambia wananchi na sasa njia pekee walioiona ya kuendelea kubaki madarani ni kuvuruga upinzani.. Hii post ni moja kati kazi yao ya kujaribu kuleta misunderstanding ndani ya CDM..! Ni juu yetu kuhakikisha njama hizi hazitafanikiwa..

Halafu labda mkuu mimi ngoja niende mbali zaidi, wakati wa uchaguzi mkuu kuna kikundi cha vijana kilichokuwa kinaratibiwa na Abrahaman Kinana kinaitwa Vijana Zaidi, kikundi hiki kilikuwa kinaongozwa na mtotot wa mpiga picha wa Rais Mwinyi Marehemu Habib HalaHala, hawa walipewa ofisi Upanga na pale ofisini Upanga walikuwa wanabaki vijana wawili ofisini kwa ajili ya Internet Propaganda, huwezi kuamini kama wale vijana wawili wanaweza wakaopareti hata ID ishirini na wakawasumbuwa akili sana.
41577_108449092546608_175504_n.jpg


Ushauri wangu kwa wana JF, ni vigumu sana kufanya Argument na mtu ambaye yuko mtandaoni kama ajila yake rasmi, ni busara wakati mwingine kuwapotea tu watu wa namna hiyo
 
Dr. Kitila ni member huku JF.Atasema na ni mtu makini.Hii ndiyo tofauti kati ya Chadema na wale wengine

-Halafu pia watu kuchuana kugombea urais ndani ya chama siyo mpasuko bali ni zoezi la kidemokrasia.Kwani ulaumu mchakato uliompitisha Pinda kugombea Ubunge bila kupingwa na hivyo kuwa waziri mkuu at the same time unalaumu zoezi la kidemokrasia la kuwania uteuzi wa nafasi ya Urais kupitia chama cha DEMOKRASIA na MAENDELEO?

Hizi thread za upotoshaji na rumours zimekuwa nyingi mno JF sasa

A hateful character to the point of petty spitefulness, is generally to be ignored. Nonetheless, this foolish and rumour-mongering thread should be condemned and discouraged. Very annoying indeed to note that some are only interested in gossip and mindless rumour-mongering.

Glaring why Tanzania is not making progress. Far too many lack sophisticated, mature, objective and productive minds that can deliver solutions and results

Tuna chaguzi ndogo,tuelekeze nguvu na akili huko.Baada ya hapa tukae chini tutafakari kwanza juu ya kuwa na katiba mpya au angalao tume huru ya Uchaguzi before General Election
 
Sidhani kama Kitila anaweza kusema haya. Dr. Kitila Mkumbo ni mtu makini sana. Hawezi kuongea ovyo namna hii. Sidhani pia hawa wawili Mbowe na Slaa wanawaza kugombea uraisi wakati huu. Msimkosanishe Dr. Kitila na Dr. Slaa na Mbowe
 
Kitila Mkumbo uko hapa online tunakuona, hivi inakugharimu how much kuthibitisha au kukanusha taarifa hizi!!??
 
Sidhani kama Kitila anaweza kusema haya. Dr. Kitila Mkumbo ni mtu makini sana. Hawezi kuongea ovyo namna hii. Sidhani pia hawa wawili Mbowe na Slaa wanawaza kugombea uraisi wakati huu. Msimkosanishe Dr. Kitila na Dr. Slaa na Mbowe

Mkuu usiusemee moyo. Katika siasa lolote laweza kutokea. Bahati nzuri Dr. Mkumbo yupo kwenye hii thread atatujibu tu ila pia kumbuka kwamba kuna jibu alitoa kwa Rev. na wakapingana; Dr. Mkumbo akisema Mwigamba bado ni Mhasibu wa CDM makao Makuu na Rev. akishikilia msimamo kwamba Mwigamba kafukuzwa. Mambo yalienda hivyo hadi Dr. Mkumbo akanyamaa. Kwa hiyo pia nina shaka kama atajibu hili yasije yakawa ya nini malumbano ya nini maneno, huenda akaamua kujiweka pembeni!

Lakini pia mkuu Urais ni kitu kinono hivyo haiwezi ikawa tu mtu anapewa akagombee bila kupita kwenye tanuru. Huenda Mbowe naye anapiga jalamba na kwa maana hiyo lazima awe na kambi. Kwa upande wa dr. Slaa naye lazima apige jalamba kwa kuwa anaamini aliukosa Urais kwa centimeta chache. Misuguano lazima.
 
Mshauri mkuu wa chadema ndugu, Kitila Mkumbo alitembelea Uingereza katika miji ya London na Readings kuanzia tarehe 5 Machi na 6 Machi 2012 na kuondoka tarehe 10 Machi, 2012.


Miongoni mwa mambo aliyotueleza ni kuwepo kwa mpasuko wa nani anasitahiri kubeba/kupeperusha bendera ya chadema katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kati ya Freeman Mbowe na Dk. Slaa. Mkumbo anasema kuna kambi mbili zinazopingana ndani ya chadema kuhusu suala hilo.

Wanaomuunga mkono Dk. Slaa wanasema kwamba ni mtu anayejua kujenga hoja, ana mvuto, wananchi wanamwamini kuliko Mbowe lakini pia kwamba Dk. Slaa alishinda uchaguzi mkuu wa 2010 kabla ya kuchakachuliwa. Kwa sababu hiyo akipewa nafasi tena 2015 na chadema ikisimamia vyema uchaguzi huo Dk. Slaa anaweza kuwa Rais ajaye.



Kambi ya mbowe inasema kwamba alitumia asilimia 72 ya pesa yake katika kufanikisha kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010, wapo wanaodai chama kirudi mikononi mwa Mbowe kwa sababu hivi sasa ameimarika zaidi kwa ajili ya kugombea Urais katika uchaguzi mkuu ujao. My take: Kuendeleza huo mpasuko kutaisaidia ushindi wa CCM katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.


Wadau nimeleta kwenu tusaidiane namna ya kutafuta ufumbuzi wa mpasuko wa kambi mbili hizi ili chadema kiendelee kuwa chama kikuu cha upinzani na pengine kushika dola mwaka 2015. Source: Nilikuwa Uingereza miongoni mwa wafuasi wa chadema tuliohudhuria kikao cha kamanda wetu Kitila.

Sitakujibu kwa sababu wewe ni Magamba original
 
Dr. Kitila ni member huku JF.Atasema na ni mtu makini.Hii ndiyo tofauti kati ya Chadema na wale wengine

-Halafu pia watu kuchuana kugombea urais ndani ya chama siyo mpasuko bali ni zoezi la kidemokrasia.Kwani ulaumu mchakato uliompitisha Pinda kugombea Ubunge bila kupingwa na hivyo kuwa waziri mkuu at the same time unalaumu zoezi la kidemokrasia la kuwania uteuzi wa nafasi ya Urais kupitia chama cha DEMOKRASIA na MAENDELEO?

Hizi thread za upotoshaji na rumours zimekuwa nyingi mno JF sasa

A hateful character to the point of petty spitefulness, is generally to be ignored. Nonetheless, this foolish and rumour-mongering thread should be condemned and discouraged. Very annoying indeed to note that some are only interested in gossip and mindless rumour-mongering.

Glaring why Tanzania is not making progress. Far too many lack sophisticated, mature, objective and productive minds that can deliver solutions and results

Tuna chaguzi ndogo,tuelekeze nguvu na akili huko.Baada ya hapa tukae chini tutafakari kwanza juu ya kuwa na katiba mpya au angalao tume huru ya Uchaguzi before General Election

Mkuu Ben kwa hiyo unataka thread zote ziwe za uchaguzi mdogo na katiba mpya? Siasa ni mchakato na ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku hivyo basi hakuna shida ya kuongelea mambo mbalimbali ya kisiasa ikiwemo kuangalia ni akina nani watatufaa 2015.
 
Kwa Kitila kutoa maneno kama hayo kwa vilaza kama nyie ni jambo halipo,tuacheni tuna mambo mengi mbele yetu
 
Mkuu Ben kwa hiyo unataka thread zote ziwe za uchaguzi mdogo na katiba mpya? Siasa ni mchakato na ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku hivyo basi hakuna shida ya kuongelea mambo mbalimbali ya kisiasa ikiwemo kuangalia ni akina nani watatufaa 2015.

Mkuu wangu Kimbunga,

Niliandika hayo maneno baada ya kutahadharisha juu ya hii trend ya thread ambazo ni aina ya gossip na rumour-mongering! Kanuni ya rationality inaweza kutuongoza hapo,badala ya kupigani au kujadili nani awe flag bearer wa chama cha siasa ni lazima tuonyeshe uzalendo wetu na nia thabiti ya kutaka kulikomboa taifa hili.Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi is more urgent than kutafuta flag bearer wa chama cha siasa kwa staili hii.Tunaanza kujenga taifa la waroho,wabinafsi na walafi bila mass interest at heart.

Pia hii tabia ya kujengeana hofu za kuogopa chaguzi itaturudisha karne zilizopita,ukiogopa chaguzi utatafuta njia ya mkato.Utaiba kura,utakuwa tayari kuua au utachukua silaha na kuingia msituni.Hofu inaweza kumfanya mtu akuwa au kufanya jambo lolote lisilotarajiwa.Tufanyishe watu mazoea ya ku-face ballot bbox, tusiifanye JF kama scare crow

Otherwise siwezi kuwachagulia watu kitu cha kujadili mkuu na hata wewe unaelewa hilo
 
Sidhani kama Kitila anaweza kusema haya. Dr. Kitila Mkumbo ni mtu makini sana. Hawezi kuongea ovyo namna hii. Sidhani pia hawa wawili Mbowe na Slaa wanawaza kugombea uraisi wakati huu. Msimkosanishe Dr. Kitila na Dr. Slaa na Mbowe
Tutasikia mengi mkuu. wenzetu hawalali wameona hawana cha kuwaambia wananchi wameamua kutafuta mbinu za kuwachonganisha CDM. mara Slaa mwizi kaibia CDM 280,000, mara mchumba wake kalipwa mil 10, nk. ukiwaambia toeni ushahidi wote wanasepa.
 
Mshauri mkuu wa chadema ndugu, Kitila Mkumbo alitembelea Uingereza katika miji ya London na Readings kuanzia tarehe 5 Machi na 6 Machi 2012 na kuondoka tarehe 10 Machi, 2012.


Miongoni mwa mambo aliyotueleza ni kuwepo kwa mpasuko wa nani anasitahiri kubeba/kupeperusha bendera ya chadema katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kati ya Freeman Mbowe na Dk. Slaa. Mkumbo anasema kuna kambi mbili zinazopingana ndani ya chadema kuhusu suala hilo.

Wanaomuunga mkono Dk. Slaa wanasema kwamba ni mtu anayejua kujenga hoja, ana mvuto, wananchi wanamwamini kuliko Mbowe lakini pia kwamba Dk. Slaa alishinda uchaguzi mkuu wa 2010 kabla ya kuchakachuliwa. Kwa sababu hiyo akipewa nafasi tena 2015 na chadema ikisimamia vyema uchaguzi huo Dk. Slaa anaweza kuwa Rais ajaye.



Kambi ya mbowe inasema kwamba alitumia asilimia 72 ya pesa yake katika kufanikisha kampeni za uchaguzi wa mwaka 2010, wapo wanaodai chama kirudi mikononi mwa Mbowe kwa sababu hivi sasa ameimarika zaidi kwa ajili ya kugombea Urais katika uchaguzi mkuu ujao. My take: Kuendeleza huo mpasuko kutaisaidia ushindi wa CCM katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.


Wadau nimeleta kwenu tusaidiane namna ya kutafuta ufumbuzi wa mpasuko wa kambi mbili hizi ili chadema kiendelee kuwa chama kikuu cha upinzani na pengine kushika dola mwaka 2015. Source: Nilikuwa Uingereza miongoni mwa wafuasi wa chadema tuliohudhuria kikao cha kamanda wetu Kitila.
Watanzania wengi wa humo reading, UK ni wazanzibari wa kujilipua. Endeleeni kubolesha ndoa yenu na ccm
 
Ninachojua ni kwamba Dr. Slaa sio mroho wa uraisi. hata hiyo 2010 aliombwa na chama aachane na ubunge ili abebe bendera ya chama kupambana na JK.
 
Kitila Mkumbo uko hapa online tunakuona, hivi inakugharimu how much kuthibitisha au kukanusha taarifa hizi!!??

Mkuu Matola,

Unataka Dr. Kitila akurupuke kujibu kabla hajasoma posts za wengine humu? Unataka awe mkurupukaji kama wale wengine? Unajua hapa JF ni kama tunaongea ni kama kikao,haitakuwa ustaarabu kuanza kuchangia mada inayokuhusu kabla ya kusikiliza wenzako wanasemaje.
 
Kunapropaganda hapa zinaandaliwa kiumakini sana kwa watu wanaojifanya wanachadema kuleta thread hapa ilikutuondoa kwenye tension ya Arumeru na mambo ya masingi.

Mimi nafikiri ni vema tukawapotezea.
 
Dr. Kitila ni member huku JF.Atasema na ni mtu makini.Hii ndiyo tofauti kati ya Chadema na wale wengine

-Halafu pia watu kuchuana kugombea urais ndani ya chama siyo mpasuko bali ni zoezi la kidemokrasia.Kwani ulaumu mchakato uliompitisha Pinda kugombea Ubunge bila kupingwa na hivyo kuwa waziri mkuu at the same time unalaumu zoezi la kidemokrasia la kuwania uteuzi wa nafasi ya Urais kupitia chama cha DEMOKRASIA na MAENDELEO?

Hizi thread za upotoshaji na rumours zimekuwa nyingi mno JF sasa

A hateful character to the point of petty spitefulness, is generally to be ignored. Nonetheless, this foolish and rumour-mongering thread should be condemned and discouraged. Very annoying indeed to note that some are only interested in gossip and mindless rumour-mongering.

Glaring why Tanzania is not making progress. Far too many lack sophisticated, mature, objective and productive minds that can deliver solutions and results

Tuna chaguzi ndogo,tuelekeze nguvu na akili huko.Baada ya hapa tukae chini tutafakari kwanza juu ya kuwa na katiba mpya au angalao tume huru ya Uchaguzi before General Election


Duh Ben bwanah haya yooote umeandika kwa kuwa mtandao wenu umeguswa eeh.Naona sasa mmetinga Uingereza na Zitto zambia kwa kaunda.Mbowe una kazi huko mbele kukabiliana na hawa vijana.inabidi uanze kujenga ngome vyuo vikuu kwa kutumia mtandao wa watu makini naona kila dalili hawa vijana watakudhalilisha siku za usoni

Halafu ben ni lini utaacha hulka za udikteta na visasi?Huna tofauti na JK kwa visasi na ile sifa nyingine ya sketi.bado mna hasira na mbowe?una kisirani kibaya sana dogo,kaa hata na heche basi muendeleze baraza la vijana.nilitegemea utakuwa arumeru kuongoza red brigade.chadema msipomalizana kisiasa mtamalizana kimahaba huko.msalimieni shemeji yetu haramu juliat shoza na esther bulaya

Kitila Mkumbo uko hapa online tunakuona, hivi inakugharimu how much kuthibitisha au kukanusha taarifa hizi!!??

aje achekwe?sanasana ataipa hii thread jina baya na kutokomea
 
Back
Top Bottom