Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 2,790
- 1,232
Halafu sijui kuna faida gani kwa CCM kwa kufanya ubaguzi kama huu kwa wachaga. Kweli watu wakiishiwa mbinu huwa wanawaza cha leo tu bila kuangalia athari zitakazo kuja baadaye. CCM wakifanya hii move itakula kwao tu...Huyo first class economist anazidi kudhihirisha jinsi alivyo kichwa uji.
Nani anayeweza kumdanganya na hizo Tshirts zake? Labda hiyo ya kununua watu itamsaidia kumfariji kwa muda mfupi tu lakini kwa mtu yeyote mwenye akili timamu na anayezitumia vizuri hawezi ku-cross toka Chadema ama any oppositin party kwenda ccm. Na hata hao anaowanunua baadae watakimbia na kurudi kwenye kundi lenye matumaini na kuwaacha wafe na ccm yao.