Parata
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 3,090
- 675
sawa kwa taarifa nikiziona nitamdharau mwigulu sana
mi nimeshamtoa kwenye idadi ya watu wanaofikiri siku nyingi sana
sawa kwa taarifa nikiziona nitamdharau mwigulu sana
wewe mateso gani na nani anapata sijui akili yako ina kutu we vipi HAKUNA MWANACHADEMA ANAEONEWA WEWE
Samahani labda sikueleweka nilimaanisha kusema sio vizuri kutukana mashehe katika jambo ambalo hawajalitenda kwasababu sio mashehe wote wamesusia sensa. Isitoshe inaumiza sana kumtukana kiongozi wa kiroho wa dini nyingine. "Waombeeni wanaowaudhi''
leo tarehe 29.08.2012 niko hapa maeneo ya lumumba kariakoo , kuna rafiki yangu alinialika mlo wa mchana katika moja ya migahawa ya hapa lumumba na kuwa kwangu hapa niomekutana na tukio ambalo nimeamua niliweke hadharani kabla halijatokea kwani naamini kabisa kuwa lengo la mpango huu ni kuendelea kutugawa taifa kwa misingi ya ukabila jambo ambalo sikubaliani nalo kama ambavyo ninapinga kugawa watanzania kwa misingi ya udini .
mwigulu nchemba , juzi jumatatu amechapisha tisheti zenye maandishi ya m4c na ameweka maana kwenye hizo tisheti ambazo bado hazijaanza kugawanywa kuwa ni movement 4 chagga na ameweka maandishi makubwa kuwa changia movement 4 chagga (m4c), zipo na zitaanza kugawanywa muda wowote .
zoezi hili linaendena sambamba na operation ya mwigulu ya kwenda igunga eti kuelezea nini kilitokea mahakamani kwa wana igunga , ziara hii imepangwa kuanza siku ya jumamosi kwani alikuwa anasubiria fusso waliyonunua kwa shilingi milioni arobaini na tisa (49,000,000) na kuitengeneza kama za cdm ikamilike na walinunua vifaa mlimani city tayari tangu wiki iliyopita.
lengo la kuweka hapa ni kuwajulisha cdm wajue kuwa kuna mipango hiyo tayari imepangwa na inaendelea kutekelezwa , chukueni hatua .aidha kuna vijana wenu watatu majina leo nayahifadhi wanafanya vikao vingi sana na mwigulu na wa mwisho alipofika kwake wiki iliyopita alipewa shilingi laki nane , mara ya kwanza alipewa shilingi milioni tatu na huyu ametangaza rasmi kuwa atajiunga na ccm wakati wowote fuatilieni waliogombea bavicha na kushindwa na hata mmoja aliweza kushinda ila anawahujumu nyie cdm.
sikubaliani na mipango ya kuligawa taifa kwa misingi ya udini na ukabila hivyo nitaipinga sana hata kama mtanijua liwalo na liwe.
ni mimi mpiga filimbi-
New challenges needs new methods to solve them. Hiki kitu CCM hawajifunzi kwa nini? Hizi mbinu za kikoloni mpaka lini?
Vipi mameno hayo angekuwa amesema Mwislamu? Msiwatendee wenzenu yale msiyoyapenda kutendewa..................hebu pata maumivu anayopata mwachadema mwenzio Muislamu>>>??????
"Uongo ukirudiwa rudiwa hugeuka kuwa ukweli"Naamini hawawezi kuhujumu akili za Watanzania.
Leo tarehe 29.08.2012 niko hapa maeneo ya Lumumba Kariakoo , kuna rafiki yangu alinialika mlo wa mchana katika moja ya migahawa ya hapa Lumumba na kuwa kwangu hapa niomekutana na tukio ambalo nimeamua niliweke hadharani kabla halijatokea kwani naamini kabisa kuwa lengo la mpango huu ni kuendelea kutugawa taifa kwa misingi ya Ukabila jambo ambalo sikubaliani nalo kama ambavyo ninapinga kugawa watanzania kwa misingi ya udini .
Mwigulu Nchemba , juzi jumatatu amechapisha tisheti zenye maandishi ya M4C na ameweka maana kwenye hizo tisheti ambazo bado hazijaanza kugawanywa kuwa ni Movement 4 Chagga na ameweka maandishi makubwa kuwa changia Movement 4 Chagga (M4C), Zipo na zitaanza kugawanywa muda wowote .
Zoezi hili linaendena sambamba na operation ya Mwigulu ya kwenda Igunga eti kuelezea nini kilitokea mahakamani kwa wana Igunga , ziara hii imepangwa kuanza siku ya Jumamosi kwani alikuwa anasubiria FUSSO waliyonunua kwa shilingi milioni arobaini na tisa (49,000,000) na kuitengeneza kama za CDM ikamilike na walinunua vifaa Mlimani City tayari tangu wiki iliyopita.
Lengo la kuweka hapa ni kuwajulisha CDM wajue kuwa kuna mipango hiyo tayari imepangwa na inaendelea kutekelezwa , chukueni hatua .Aidha kuna vijana wenu watatu majina leo nayahifadhi wanafanya vikao vingi sana na Mwigulu na wa mwisho alipofika kwake wiki iliyopita alipewa shilingi laki nane , mara ya kwanza alipewa shilingi milioni tatu na huyu ametangaza rasmi kuwa atajiunga na CCM wakati wowote fuatilieni waliogombea Bavicha na kushindwa na hata mmoja aliweza kushinda ila anawahujumu nyie CDM.
Sikubaliani na mipango ya kuligawa taifa kwa misingi ya Udini na Ukabila hivyo nitaipinga sana hata kama mtanijua LIWALO NA LIWE.
NI MIMI MPIGA FILIMBI-