- Thread starter
- #21
Hiv unaeza kupata mume/mke mwema humu mitandaoni?binafsi inakuwa ngumu kuamini bt kama ukifanikiwa u2pe feedbak labda na wengine watatumia njia kama yako kupata wenzi
naona wewe u mgeni sana humu jf. wapo waliooana kwa kukutana humu humu jf. na wengi huwa wanaleta mrejesho hivyo usfikiri humu ni kama kwenye mitandao mingine usjali itakupa fback