unknown animal
JF-Expert Member
- Jul 18, 2012
- 337
- 51
unasema ni binti wa kike kwani kuna binti wa kiume,na bora leo umejitokeza hebu nipe kwa kina kuhusu kale katabia kenu ka kutanguliza vijana mbele ya haki ili mpate nafasi ya kula bata kwa mkwanja wa aliyetangulia,sambamba na hilo kuna mengine mengi,na usiruke hata kipengele ili watu tuzame kwa bibi kusaka natural bodyguard from natural trees before applying for that chance.