moyo u mpweke ..................

Hiv unaeza kupata mume/mke mwema humu mitandaoni?binafsi inakuwa ngumu kuamini bt kama ukifanikiwa u2pe feedbak labda na wengine watatumia njia kama yako kupata wenzi

naona wewe u mgeni sana humu jf. wapo waliooana kwa kukutana humu humu jf. na wengi huwa wanaleta mrejesho hivyo usfikiri humu ni kama kwenye mitandao mingine usjali itakupa fback
 
Hiv unaeza kupata mume/mke mwema humu mitandaoni?binafsi inakuwa ngumu kuamini bt kama ukifanikiwa u2pe feedbak labda na wengine watatumia njia kama yako kupata wenzi

inawezekana kabisa mke/mume anapatikana popote pale
 
  • Thanks
Reactions: b2k
"ambaye atakubali kunifundisha juu ya kufanya tendo la ndoa. Ila pia ajue hatutafanya tendo la ndoa hadi tufunge ndoa, na binafsi sijawah kufanya kabisa"

Mmh..kwa kweli hiki kigezo kilinishindaga,eti hadi ndoa??

Sasa let say nimekaa hadin ndoa,then nikakukuta hauko kama unavyosema,itatokea nini??na ndoa za kikristo ni moja tu...haivunjiki kirahisi rahisi...

Mimi mama yeyoo mpaka nilimdunga ujauzito.....maana yake hamchelewi nyie,unasema mpaka ndoa kumbe ulishatoa mimba weee hadi umeng'oa kizazi....

Hadi ndoa ni too risky...labda ningekujua tangu utoto wako,hii ya kimjini mjini..ni ngumu kumesa...

NI MTAZAMO TU WAKUU....
 
  • Thanks
Reactions: b2k
charminglady nimetulia mpenzi ila uyu binti wa kike ameniacha hoi eti hataki mwanaume mjeda anataka raia
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: b2k
nakushukuru sana hata kwa kupost haya. Binafsi wewe sitakuweza kwani umri umekwenda sana na hao watoto uliozaa wanatosha kabisa. mimi sina nyumba wala gari lakin siyo vigezo vyangu kwa sasa.
Sawa bibie....all the best
 
  • Thanks
Reactions: b2k
habari zenu wanajamvi.
Mimi ni binti wa kike, ambaye moyo wangu u mpweke. kwamara ya kwanza najitokeza jamvini kumtafuta rafiki wa kiume mwenye nia ya dhati ya kuwa na mahusiano ambayo yatalenga kuja kuwa wachumba na hatimaye mume na mke. Kujitokeza kwangu hapa ni kwakua ninaimani na jamvi hili kwamba naweza kumpata GT wa ukweli.
wasifu wangu wa ndani na nje ni kama ifuatavyo.
wasifu wa ndani:-
mtaratibu sana, mwenye huruma, nina nidhamu, siyo mtu wa maneno mengi wala sipendi malumbano, mcha mungu, nina kiasi,ni mstahimilivu na mkarimu.

wasifu wa nje:-

mrefu cm 156, mwembamba kiasi, low cut, natural black, sipend kujipamba kwa mwonekano wavitu vya nje,nadhifu sana, ninajitegemea kimaisha na pia ni leftee.

sifa nyinginezo:-
umri-28 yrs
kazi- mwanajeshi cheo LT
elimu- BAGEN & PGDLP
Dini- mkristo
kabila- chagga(machame)

sifa za mwanaume:-
umri- 30-35 yrs
kazi- yeyote ila awe raia
elimu- degree itapewa kipaumbele
dini- mkristo
kabila-lolote lile.

sifa nyinginezo za mwanaume:-
awe raia ( asiwe mjeda hii ni msisitizo), awe mwenye moyo wa upendo wa hati na ambaye atakubali kunifundisha juu ya kufanya tendo la ndoa. Ila pia ajue hatutafanya tendo la ndoa hadi tufunge ndoa, na binafsi sijawah kufanya kabisa.

Nb- tuwasiliane kupitia pm na pia hatutatumiana picha katika hatua za awali, baada ya kuridhika katika pm ndipo njia nyingine kama email zitafuata na hata kupanga kuonana kwa macho.
Nimeupenda mwandiko wako sana. Ongea na gfsonwin ana walimu wenzake mabachela kibao.
 
Last edited by a moderator:
"ambaye atakubali kunifundisha juu ya kufanya tendo la ndoa. Ila pia ajue hatutafanya tendo la ndoa hadi tufunge ndoa, na binafsi sijawah kufanya kabisa"

Mmh..kwa kweli hiki kigezo kilinishindaga,eti hadi ndoa??

Sasa let say nimekaa hadin ndoa,then nikakukuta hauko kama unavyosema,itatokea nini??na ndoa za kikristo ni moja tu...haivunjiki kirahisi rahisi...

Mimi mama yeyoo mpaka nilimdunga ujauzito.....maana yake hamchelewi nyie,unasema mpaka ndoa kumbe ulishatoa mimba weee hadi umeng'oa kizazi....

Hadi ndoa ni too risky...labda ningekujua tangu utoto wako,hii ya kimjini mjini..ni ngumu kumesa...

NI MTAZAMO TU WAKUU....

as a christian girl that is my stance, and infact it makes no sense kuongopa hapa kwani natafuta mpenzi mwandani wafikiri nikiongopa kwa dogo kama hili kwa kubwa je itakuwaje? na je nitapata faida gani kuongopa ili nionekane mwema ilihali siko hivyo katika umri huu. naamin kama nataka yaliyo mema basi niwe muwaz na mkweli na nisifiche jambo.

tatizo letu watanzania tumezoea kuongopewa sana jambo ambalo wenzetu walioko mbele hawalfanyi kabisa.
 
Utanitaka mie? Sifa zangu
1. Nina miaka 62 (retired but not tired)
2. Sijawahi kuoa ila nina watoto 5 ( mama tofauti)
3. Ninafanya kazi katika chuo kikuu kimoja dar (kwa contract) kwa mhadhiri msaidizi ( assisstant lecturer)
4. Nina nyumba moja (kigamboni) na nina usafiri wangu binafsi
Nipo tayari kufuata masharti km utasema yes.........
We saitama_kein mbona hujataja uraia wako?au we sio mbongo?maana hata hilo jina lako tu?halafu kwani umeambiwa anahitaji mtu mwenye watoto wewe?uwe unaelewa anamtaka mwenye mapenzi ya dhati,watoto 5 mama tofauti ni kipimo tosha kuwa kwako mapenzi ya dhati 0.so kiufupi ni kuwa hufai naomba nimjibie dada yangu b2k kwa niaba.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: b2k
We saitama_kein mbona hujataja uraia wako?au we sio mbongo?maana hata hilo jina lako tu?halafu kwani umeambiwa anahitaji mtu mwenye watoto wewe?uwe unaelewa anamtaka mwenye mapenzi ya dhati,watoto 5 mama tofauti ni kipimo tosha kuwa kwako mapenzi ya dhati 0.so kiufupi ni kuwa hufai naomba nimjibie dada yangu b2k kwa niaba.
ubarikiwe sana kwa upendo wako. ila mtu kama huyu asikuwazishe hata kidogo.
 
We saitama_kein mbona hujataja uraia wako?au we sio mbongo?maana hata hilo jina lako tu?halafu kwani umeambiwa anahitaji mtu mwenye watoto wewe?uwe unaelewa anamtaka mwenye mapenzi ya dhati,watoto 5 mama tofauti ni kipimo tosha kuwa kwako mapenzi ya dhati 0.so kiufupi ni kuwa hufai naomba nimjibie dada yangu b2k kwa niaba.
Blue G, mie mtanzania...mwenyeji wa Kasulu.....asante kwa mtazamo wako hasi.. ila tahadhali usimkoseshe b2k bahati yake kwa makusudi ili baadae ukaanze ni PM....
 
  • Thanks
Reactions: b2k

Similar Discussions

Back
Top Bottom