Makyomwango
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 322
- 79
WANA BODI
Wakati wa uchaguzi mdogo wa Arumeru Mashariki, CDM walianzisha mpango maalum wa watanzania kujikomboa kwa kupewa elimu ya uraia mijini na vijijini. Ili kufanikisha mpango huu watanziniawaishio arusha na sehemu nyingine walialikwa katika hotel moja huko arusha kwalengo la kuchanga fedha za kugharamia mpango huo.
Wengi tuliupokea mpango huo kwa furahana tukidhani ni endelevu, lakini sasa naona siku zinakwenda tu bila kutaarifiwa nini kinaendelea juu ya mpango huo wa kuwakomboa watu wetu hususan wa vijijini.
Nawaomba viongozi wa CDM watoe utaratibu wa kuutekeleza mpango huo kwa kila mkoa ili wale wote wenye nia njema na nchi hii wajiandae kwa hali na mali kuwakomboa watu wao chini ya ukoloni mamboleo wa magamba kupitia mpango huo.
Wakati wa uchaguzi mdogo wa Arumeru Mashariki, CDM walianzisha mpango maalum wa watanzania kujikomboa kwa kupewa elimu ya uraia mijini na vijijini. Ili kufanikisha mpango huu watanziniawaishio arusha na sehemu nyingine walialikwa katika hotel moja huko arusha kwalengo la kuchanga fedha za kugharamia mpango huo.
Wengi tuliupokea mpango huo kwa furahana tukidhani ni endelevu, lakini sasa naona siku zinakwenda tu bila kutaarifiwa nini kinaendelea juu ya mpango huo wa kuwakomboa watu wetu hususan wa vijijini.
Nawaomba viongozi wa CDM watoe utaratibu wa kuutekeleza mpango huo kwa kila mkoa ili wale wote wenye nia njema na nchi hii wajiandae kwa hali na mali kuwakomboa watu wao chini ya ukoloni mamboleo wa magamba kupitia mpango huo.