Wakuu.
Ule mradi wa Chadema uliokuwa unasimamiwa na mbunge wa Arusha Godbless Lema maarufu kama MOVEMENT FOR CHANGE (M4C) ambao ulipelekea Lema kununua Helicopter kutoka Uingereza (sina uhakika kama hiyo Chopa imeshafika)Umeishia wapi? Ni kipindi kirefu sasa hatujasikia lolote kutoka kwenye huu mradi. Vipi kuhusu mapato na matumizi yake? Au ulikuwa ni mpango wa kumpatia Lema kipato kipindi kile amesimamishwa ubunge ili asije akairudia ile kazi yake ya zamani?
Ule mradi wa Chadema uliokuwa unasimamiwa na mbunge wa Arusha Godbless Lema maarufu kama MOVEMENT FOR CHANGE (M4C) ambao ulipelekea Lema kununua Helicopter kutoka Uingereza (sina uhakika kama hiyo Chopa imeshafika)Umeishia wapi? Ni kipindi kirefu sasa hatujasikia lolote kutoka kwenye huu mradi. Vipi kuhusu mapato na matumizi yake? Au ulikuwa ni mpango wa kumpatia Lema kipato kipindi kile amesimamishwa ubunge ili asije akairudia ile kazi yake ya zamani?