Movement for change (m4c) imeishia wapi?

M4C ......! Hii movement was originated from the only 1 true God ambapo aliitumia musa ku-motivate wana wa israel misri paka nchi ya maziwa na asali, Sasa leo hii Mungu ameamua kumkabidhi kamanda Godbless lema(mandela II) ku-motivate ukombozi wa tz tunayoitaka.
M4C
solidarity forever.
 
Tuanze na suala la mihimili.....

Siku zote huwa naogopa sana CDM kuchukua serikali kwa sababu ya itikadi yao ambayo huwa inagonganagongana kila kukicha. Hivi hiki chama ni cha kijamaa, kibepari au kimajimbo?
Nikisema kimajimbo namaanisha kuwa governor wa jimbo la pwani anaweza kuamua kufuata ujamaa, na governor wa jimbo la Ziwa nyanza anaweza kufuata mfumo wa kibepari.
Je, ni kipi CDM kinapigania?... as in mfumo wake wa kisiasa na uchumi.
4get CCM, tushawajua kuwa wameshindwa ujamaa, na wameshindwa ubepari.
 
M4C ......! Hii movement was originated from the only 1 true God ambapo aliitumia musa ku-motivate wana wa israel misri paka nchi ya maziwa na asali, Sasa leo hii Mungu ameamua kumkabidhi kamanda Godbless lema(mandela II) ku-motivate ukombozi wa tz tunayoitaka.
M4C
solidarity forever.
Katika hili nitahitilafiana na wewe. Inawezekana una mapenzi binafsi na Lema lakini siamini kama jukumu la kuleta mabadiliko ya kweli katika nchi hii linawezekana chini ya uongozi wa Lema. Lema inawezekana anafaa sana kwenye kuwajaza watu hamasa ya kufanya jambo fulani lakini siyo kutafakari na kuibuka na jibu jadidi lenye kutoa dawa mujarabu kwa matatizo ya watanzania wote.

Umewahi kumuuliza Lema CHADEMA ina simamia ajenda ya majimbo, yeye anataka majimbo yawe mangapi Tanzania. Lema ana maoni gani kuhusu Muungano wetu na Zanzibar? Mabadiliko tunayoyataka ni zaidi ya vyama vyetu au watu tunaowapenda!!
 
Tuanze na suala la mihimili.....

...... kijamaa, kibepari au kimajimbo?......
HAHA......Nakumbuka multiple choice Qns ..halafu unaambiwa chagua lisiloendana na mengine...A,B or C?

Nikisema kimajimbo namaanisha kuwa governor wa jimbo la pwani anaweza kuamua kufuata ujamaa, na governor wa jimbo la Ziwa nyanza anaweza kufuata mfumo wa kibepari.

Wale wa US mtuambie Texas na Califonia wana synchronize vipi?
 
M4C NI NZURI,LAKIN KASORO NI LUGHA.KUTUMIA KIINGEREZA SI SAHIHI SANA KWA SABABU WATANZANIA TULIO WENGI HATUKIJUI.NAOMBA ANAYEJUA CD za documentary iliyoönyeshwa siku ya uzinduzi wa M4M anielekeze.nina hamu mno kuipata
 
HAHA......Nakumbuka multiple choice Qns ..halafu unaambiwa chagua lisiloendana na mengine...A,B or C?



Wale wa US mtuambie Texas na Califonia wana synchronize vipi?
Wote wanafuata ubepari.
Texas hawalipi kodi, Cali wanalipa.
Texas hawaruhusu ucameroon, Cali wanaruhusu.
Texas hawaruhusu bangi, Cali wanaruhusu kwa matibabu.
 
Wote wanafuata ubepari.
Texas hawalipi kodi, Cali wanalipa.
Texas hawaruhusu ucameroon, Cali wanaruhusu.
Texas hawaruhusu bangi, Cali wanaruhusu kwa matibabu.

So at least ubepari ni core kwa wote na ndio iliyo ktk federal goverment.Hata ktk jamhuri yetu kuna bylaws .Kuna za majimbo,kuna za mikoa,za wilaya hadi za kijiji ila zinapaswa zisigongane na zile za serikali kuu.
 
Wote wanafuata ubepari.
Texas hawalipi kodi, Cali wanalipa.
Texas hawaruhusu ucameroon, Cali wanaruhusu.
Texas hawaruhusu bangi, Cali wanaruhusu kwa matibabu.

So at least ubepari ni core kwa wote na ndio iliyo ktk federal goverment.Hata ktk jamhuri yetu kuna bylaws .Kila nchi ina sheria za majimbo,kuna za mikoa,za wilaya hadi za kijiji kutokana geographical partition zao.Hii ni kufanya sheria ziwe customizable, Ila zinapaswa zisigongane na zile za serikali kuu.Kama wakristu walivyoruhusu watu kutumia lugha na tamaduni za sehemu husika na zisizopingana na universal rules za imani zao.
 
Katika hili nitahitilafiana na wewe. Inawezekana una mapenzi binafsi na Lema lakini siamini kama jukumu la kuleta mabadiliko ya kweli katika nchi hii linawezekana chini ya uongozi wa Lema. Lema inawezekana anafaa sana kwenye kuwajaza watu hamasa ya kufanya jambo fulani lakini siyo kutafakari na kuibuka na jibu jadidi lenye kutoa dawa mujarabu kwa matatizo ya watanzania wote.

Umewahi kumuuliza Lema CHADEMA ina simamia ajenda ya majimbo, yeye anataka majimbo yawe mangapi Tanzania. Lema ana maoni gani kuhusu Muungano wetu na Zanzibar? Mabadiliko tunayoyataka ni zaidi ya vyama vyetu au watu tunaowapenda!!
Shekhe tumezuiwa kuongelea Muungano,wakikusikia shauri zako
 
M4C ......! Hii movement was originated from the only 1 true God ambapo aliitumia musa ku-motivate wana wa israel misri paka nchi ya maziwa na asali, Sasa leo hii Mungu ameamua kumkabidhi kamanda Godbless lema(mandela II) ku-motivate ukombozi wa tz tunayoitaka.
M4C
solidarity forever.

u mek me feel happy in ma soul.umenifurahish.true kamanda
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom